Marvel Cinematic Universe special thread

Deadpool 3 will be majorly focused in DEADPOOL v TVA, Owen Wilson's agent mobius&Tara strong's Miss minutes will have major roles in the film.
Deadpool will use CABLE's technology to time travel.
This will be first crossover betweem MCU &Fox's marvel universe
 
jamaa alisimama katikati ya barabara kama nchi ya kwake [emoji23][emoji23] akapiga ambush hilo kama hakijatokea kitu..
Halafu mkono aliotengenezewa Russia mzuri kuliko wa Wakanda
Toka lini ukawa mshabiki wa MCU??
 
Guys jiandaeni kisaikolojia. Kuna projects nyingi zitakazokua delay hasa kutokana na mapokeo mabaya ya Phase 4. Hivyo naona wanataka wajikite zaidi kweye Quality over Quantity. Mwanzoni hapa ilitakiwa tuanze na Scret War kisha What If ifuate Loki tumalizie Echo. Ila inaonyesha Echo ikatoka mwakani hata loki au what if ikatoka mwisho wa mwaka.

Mwakani tunaanza na Daredevil sijui itakuaje labda wataisogeza mbele, Ndio project pekee ninayosubiri kwa hamu kutoka marvel. Kikubwa wasiiharibu iwe bomba kuliko Ile ya nyuma. I'm crossing my fingers ☺️
 
Ila wanawake wa kwenye wakanda forever wamekakamaa hatari ndio urembo kuwa vile et
Kama yule Michaela Coel (Aneka) ndio kakaa kiume hasa. Muvi yote hamna pisikali Bora Namora na Riri ni wazuri
 
Kuna ile waliingia kwa pamoja nilikuwa cinema ukumbi wote walicheka 😂😂
Ila aliyekua anamchagulia mavazi ya kuvaa shuri inabidi auawe. Kama anavaa maturubali vile. Hawa wadada kwenye Tv tu wanaonekana wabaya je live??
 
ila sio kiivyo kuna movie ndo nazifatiliaga sio zote..
Captain america
avengers
shang chi
Guardian of Galaxy
Thor
Falcon & winter soldier
eternals
Wakanda
Black widow
izo tu
Kafuatilie Daredevil halafu urudi hapa! Kila siku utakua unairudia rudia
NB: Siku hizi haipo Netflix
 
Nna Movie Pitch!

Ambayo ni Action Movie ila iwe directed na Guy Ritchie

Plot

Mmama umri umeenda anakuwa casualty kwenye Mass shoot ambayo imefanywa na kundi la kigaidi kupeleka ujumbe kwa govt.

Ila huyo mmama anawatoto watatu, mmoja mwanamke na wawili wanaume.

Huyu mwanamke ni MI 6(awe na british accent, i have my reasons)

Then hao ndugu wawili waliobaki mmoja ni CIA na Mwingine ni FBI kwahiyo wakaamua ku team up kufanya revenge ya Mama yao. Hapo sasa inakuwa ni full action plus show off kila mmoja anaonyesha kuwa division yake ni cool kuliko mwingine. Inafika point wanatafutwa na Gov zote mbili

Ila mwishon kunakuwa na bonge la twist!

Please kama Kuna Movie ya design inayofanana na hii tayari naomba jina nkaangalie.
 
Black panther 1 & 2
.W'kabi alienda wapi mbona tuliona tu mkewe okoye alimnyoonyeshea spear sehemu ya kwanza halafu hatukumuona tena
Nikiambiwa watu walioitendea vyema black panther Basi sitawaacha d'jaka na Lord M'baku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…