Marvel Cinematic Universe special thread

"Don't call me sir!"

A few moments later.....

"Call me sir!"

(Peter parker) 😳

"Thank you sir"

"Call me Stephen"

😂😂😂
 
Nilikuwa nawaza Multiverse of Madness ntakuwa mbaliii mahali X kuwajibika na professional Exam ya Board Y unfortunately Ratiba imebadilishwa Mungu kasikia kilio changu [emoji3], Naenda kuiangalia siku ya Preview tar5...kikubwa Mungu atujarie uhai na Afya Mashabiki wa MCU[emoji41]
 
Salute mzee.
Natamani ningekua na madini kama yako.

Unaweza kuwa sahihi sana,ukimshauri jamaa na ukawa sahihi atakupa credit in future thank you for friend from Tanzania Da'vinci who gave me this theory and turned out to be true hahaha.
 
Huyu mis.marvel ni yupoje?
Yaan nguvu zake, hii movie ipo wakat gani kwenye timeline ya mcu?
Da'Vinci
Nguvu zake kwenye comics alikuwa ana stretch mwili kama vile mr fantanstic wa fantastic four Ila nimeona kwenye trailer wamebadilisha anatoa Kama cosmic energy ya blue Kuna kama kifaa kama ringi amevaa mkononi kinafanya awe na hizo power yaani power zake ni artificial


Movie yake katika timeline Ipo after endgame event
 
Hivi visupa hiro vipya vitatuchanganya tu,au ndio baadae atakua na potential kubwa kuliko ajuavyo yeye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…