bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Nilicho gundua kuhusu Hawa jamaa ni kama wanafanyaga kusudi alafu then baadae wanakuja kuonesha kitu kizuriWamejitahidi pia kufix CGI tuhope itakuwa nzuri.View attachment 2305187
😂 it’s weird nimeisoma kwa sauti zaoPETER 1: I was in the Avengers.
PETER 2: The Avengers? That's great! What is that?
PETER 3: Is that a band?
Yeeeeeeeees,maanake wataiweka wanavyoona wao ina fitRais wa MarvelStudios Kevin Feige amesema kuwa the MCU’s Fantastic Four movie haitakuwa origin story!
Smart thinkingRais wa MarvelStudios Kevin Feige amesema kuwa the MCU’s Fantastic Four movie haitakuwa origin story!
Hapana sio kweli kwamba Tony Stark ndio the smartest in MCU, anashindwa hata na Shuri Tony ana intelligence level sawa na Hank Pym, Bruce Banner sema yeye kinachomsaidia he's Rich while bruce ni maskini. Shuri ni smart kuliko wote ndio maana waliposhindwakutoa mind stone walienda kwakw. Kuna sehemu Shuri alimwambia Bruce kwanini hawakuzipangua na kuziondoa taratibu fibre za mind stone, bruce akajibu kwamba "Because we didn't think about it"
Shuri akamwambia "Or because you didn't know about it"
Hapo inaonyesha aliwadharau akina tony na bruce kua hawajui vitu.
Riri Williams/Iron Heart anamzidi akili tony akili kumbuka Tony aliweza kuitengeza Mark I suit kule kwenye mapango akiwa mtu mzima kwa msaada wa yule doctor ila Riri Williams aliweza kuitengeza suit kama ya tony akiwa Teen tena kwenye basement peke yake.
Sasa the most smartest inawezekana Kuzidi hata Reed Richard anaitwa Amedius Cho kutoka Korea huyu yupo kwenye comics bado hajawa introduced MCU ana ubongo kama wa computer huyu chalii. Hua natafuta nijue kama anaundugu na yule dada Ellen Cho aliyetengeza mwili wa Ultron kule korea (Avengers age of ultron)
Nilikua nakaa nawaza,hughie nime muona kwenye movie gani ila sipati jibu!!
Hadi jana nilikuwa namuwekea movie mshikaji wangu nikaplay SCREAM ndio nikamuona mchizi.
Nikasema ndio maana nilikua sikumbuki vizuri maana naangalia ila sio mpenzi wa horror movies
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
For me i go for Tony maana Availability ya Tony kwa Avengers kwenye Infinity War ilikua haiwezekani coz alikua in space na akina Strange pia hawakua kwenye same page thus Captain had no option than introducing them to WAKANDA.Hapana sio kweli kwamba Tony Stark ndio the smartest in MCU, anashindwa hata na Shuri Tony ana intelligence level sawa na Hank Pym, Bruce Banner sema yeye kinachomsaidia he's Rich while bruce ni maskini. Shuri ni smart kuliko wote ndio maana waliposhindwakutoa mind stone walienda kwakw. Kuna sehemu Shuri alimwambia Bruce kwanini hawakuzipangua na kuziondoa taratibu fibre za mind stone, bruce akajibu kwamba "Because we didn't think about it"
Shuri akamwambia "Or because you didn't know about it"
Hapo inaonyesha aliwadharau akina tony na bruce kua hawajui vitu.
Riri Williams/Iron Heart anamzidi akili tony akili kumbuka Tony aliweza kuitengeza Mark I suit kule kwenye mapango akiwa mtu mzima kwa msaada wa yule doctor ila Riri Williams aliweza kuitengeza suit kama ya tony akiwa Teen tena kwenye basement peke yake.
Sasa the most smartest inawezekana Kuzidi hata Reed Richard anaitwa Amedius Cho kutoka Korea huyu yupo kwenye comics bado hajawa introduced MCU ana ubongo kama wa computer huyu chalii. Hua natafuta nijue kama anaundugu na yule dada Ellen Cho aliyetengeza mwili wa Ultron kule korea (Avengers age of ultron)
Mkuu, bro, wacha kumlinganisha Dr. Reed Richard na hao raia wengine. Tafadhali bro, ahsante.Yeeeeeeeees,maanake wataiweka wanavyoona wao ina fit
Nahisi waona it's not fair kumfanya Richard awe the smartest person ever lived bcoz utamtoa mzee Mr stark na Tony stark mwenyewe wakati in our universe Tony ndio the smartest nahisi then ndio watakuja hao kina Bruce burner.
However kwenye comic Da'Vinci correct the if am wrong shuri ndio mwenye akili moja ya sababu ilikua bcoz walipima pale alipoweza kujua jinsi ya kutoa mind stone kwenye bichwa [emoji28] ya Vision
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
unthinkable gani hiyo mkuu?For me i go for Tony maana Availability ya Tony kwa Avengers kwenye Infinity War ilikua haiwezekani coz alikua in space na akina Strange pia hawakua kwenye same page thus Captain had no option than introducing them to WAKANDA.
Tony is da smartest kwa this universe maana he did the unthiñkable kabla hajafa
Sema dogo ndo vile tu anapewa credit mingi tayari, stark alishatengeneza suits hizo sio moja, zaidi ya kumi. so blueprints ipo tayari, ni kukomaa kwa dogo tu. Mimi nasubiria kuona power source ya hiyo suit iyakuwa nini.Hapo shuri alimjibu “I’m sure you did your best” aliwajibu in polite way
and mimi sio wa comics sana ila Riri sio alitengeneza hiyo suit yake katika lab za MIT au
Power source swali zuri...Sema dogo ndo vile tu anapewa credit mingi tayari, stark alishatengeneza suits hizo sio moja, zaidi ya kumi. so blueprints ipo tayari, ni kukomaa kwa dogo tu. Mimi nasubiria kuona power source ya hiyo suit iyakuwa nini.
For me i go for Tony maana Availability ya Tony kwa Avengers kwenye Infinity War ilikua haiwezekani coz alikua in space na akina Strange pia hawakua kwenye same page thus Captain had no option than introducing them to WAKANDA.
Tony is da smartest kwa this universe maana he did the unthiñkable kabla hajafa
Aliye pendekeza the terminal list abarikiwe mno. Ngoja nicheki trela ya grayman nioneniaje wakuu, natumai mpo pouwa. mimi ninataka ku-share some nuggets of gold katika maswala ya film, ingawa sio mcu, ila madirector au events, na actors ni favourite kutoka mcu.
1. The gray man
Aisee, hii kitu iko pouwa. kama mliangalia terminal list mkaipenda, basi hii utaipenda pia. ina vibe la "john wick, nobody na extraction" kwa pamoja. Directors ni The Russo bros(hakuna mcu bila hawa jamaa), wameitendea vyema movie, pia yupo "cap A" katika nafasi ya roho mbaya, kwa maoni yangu kaitendea vyema sana, Pia kuna ryan gosling, mwamba alipotea sana, kafanya vyema sana, hopefully ndo itakuwa time ya yeye kurudi kwenye spotling.
imeshatoka, imeandalia na netflix.
2. The Woman King
Bila shaka wote tunawafahamu "Dora miraje", wale walinzi wa familia ya kifalme ya Wakanda, pia wanashika nafasi ya ujenerali katika nchi ya wakanda(kwenye what if tuliona mama yake black panther ni general anayeongoza jeshi la waknda, pia alitoka katika kikosi cha Dora miraje){Pia Black ponther ali-freeze alivyomuona lupita nyongo ambae ni covert operative/spy kutoka kikosi cha dora miraje, labda tungekuja kuona black panther akimuoa huyo dora miraje.[Until Valhalla, Chadwick.]}.
Sasa, tushawahi kufikiria labda Dora miraje ni "Inspiration" kutoka historia ya kweli? Kwamba kuna kikundi cha kijeshi cha wanawake watupu kilichowahi kuwepo hapa africa? Na kilikuwa vyema katika medani za vita?
Woman King inatupa muono kidogo wa kikosi cha walinzi wanawake wa ufamle wa Dahomey(Dahomey women warriors), waliokuwa na jukumu la kulinda familia ya kifamle na ufamle wa dahomey kwa ujumla. imekaa pouwa sana{trailers}, pia humo ndani kuna fight scenes{kutoka kwenye trailer} zimekaa ki-dora miraje sana(tunajua kutokana na mcu, dora miraje wako pouwa sana, si waoga, na wanajua wakifanyacho, well, bucky, cap A mpya na yule Cap A wa muda kutoka falcon and winter soldier, wanaifahamu shughuli yao ipasavyo). Dahomey inapatika huko Benin.
Waigizaji, mimi nimemuona na kumfahamu mmoja tu, yule mother black wa kwenye Suicide squad. anatoa shoo ya nguvu.
bado ni trailer tu, ila inatoka mwezi wa 9 au 10. kwa maoni yangu, ni worth the watch.
Aliye pendekeza the terminal list abarikiwe mno. Ngoja nicheki trela ya grayman nione
aah kaka nadhani atakuwa kasema hivyo jamaa hapo ila mm nimemjua karl(butcher) kwenye series ya Almost Human kuhusu alipofanyia voice over sijapajua hapo... sorryHivi mlisema billy butcher kaingiza sauti kwenye character ipi na ipi?@Jorge WIP Da'Vinci
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app