Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Rais wa MarvelStudios Kevin Feige amesema kuwa the MCU’s Fantastic Four movie haitakuwa origin story!
Yeeeeeeeees,maanake wataiweka wanavyoona wao ina fit

Nahisi waona it's not fair kumfanya Richard awe the smartest person ever lived bcoz utamtoa mzee Mr stark na Tony stark mwenyewe wakati in our universe Tony ndio the smartest nahisi then ndio watakuja hao kina Bruce burner.
However kwenye comic Da'Vinci correct the if am wrong shuri ndio mwenye akili moja ya sababu ilikua bcoz walipima pale alipoweza kujua jinsi ya kutoa mind stone kwenye bichwa [emoji28] ya Vision

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hapana sio kweli kwamba Tony Stark ndio the smartest in MCU, anashindwa hata na Shuri Tony ana intelligence level sawa na Hank Pym, Bruce Banner sema yeye kinachomsaidia he's Rich while bruce ni maskini. Shuri ni smart kuliko wote ndio maana waliposhindwakutoa mind stone walienda kwakw. Kuna sehemu Shuri alimwambia Bruce kwanini hawakuzipangua na kuziondoa taratibu fibre za mind stone, bruce akajibu kwamba "Because we didn't think about it"
Shuri akamwambia "Or because you didn't know about it"
Hapo inaonyesha aliwadharau akina tony na bruce kua hawajui vitu.

Riri Williams/Iron Heart anamzidi akili tony akili kumbuka Tony aliweza kuitengeza Mark I suit kule kwenye mapango akiwa mtu mzima kwa msaada wa yule doctor ila Riri Williams aliweza kuitengeza suit kama ya tony akiwa Teen tena kwenye basement peke yake.

Sasa the most smartest inawezekana Kuzidi hata Reed Richard anaitwa Amedius Cho kutoka Korea huyu yupo kwenye comics bado hajawa introduced MCU ana ubongo kama wa computer huyu chalii. Hua natafuta nijue kama anaundugu na yule dada Ellen Cho aliyetengeza mwili wa Ultron kule korea (Avengers age of ultron)

Hapo shuri alimjibu “I’m sure you did your best” aliwajibu in polite way

and mimi sio wa comics sana ila Riri sio alitengeneza hiyo suit yake katika lab za MIT au
 
Nilikua nakaa nawaza,hughie nime muona kwenye movie gani ila sipati jibu!!
Hadi jana nilikuwa namuwekea movie mshikaji wangu nikaplay SCREAM ndio nikamuona mchizi.

Nikasema ndio maana nilikua sikumbuki vizuri maana naangalia ila sio mpenzi wa horror movies

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Horror movies zilikuwa zinanipa nightmare nilivyokuaa mdogo, wanavyosema PG 13 naelewa sasa

Kama kuna mzaz humu au mtakaokuwa wazazi kuweni vizuri kuzingatia watoto wenu wanaangalia nn kwenye Tv na kwenye internet
Nilikua nakaa nawaza,hughie nime muona kwenye movie gani ila sipati jibu!!
Hadi jana nilikuwa namuwekea movie mshikaji wangu nikaplay SCREAM ndio nikamuona mchizi.

Nikasema ndio maana nilikua sikumbuki vizuri maana naangalia ila sio mpenzi wa horror movies

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hapana sio kweli kwamba Tony Stark ndio the smartest in MCU, anashindwa hata na Shuri Tony ana intelligence level sawa na Hank Pym, Bruce Banner sema yeye kinachomsaidia he's Rich while bruce ni maskini. Shuri ni smart kuliko wote ndio maana waliposhindwakutoa mind stone walienda kwakw. Kuna sehemu Shuri alimwambia Bruce kwanini hawakuzipangua na kuziondoa taratibu fibre za mind stone, bruce akajibu kwamba "Because we didn't think about it"
Shuri akamwambia "Or because you didn't know about it"
Hapo inaonyesha aliwadharau akina tony na bruce kua hawajui vitu.

Riri Williams/Iron Heart anamzidi akili tony akili kumbuka Tony aliweza kuitengeza Mark I suit kule kwenye mapango akiwa mtu mzima kwa msaada wa yule doctor ila Riri Williams aliweza kuitengeza suit kama ya tony akiwa Teen tena kwenye basement peke yake.

Sasa the most smartest inawezekana Kuzidi hata Reed Richard anaitwa Amedius Cho kutoka Korea huyu yupo kwenye comics bado hajawa introduced MCU ana ubongo kama wa computer huyu chalii. Hua natafuta nijue kama anaundugu na yule dada Ellen Cho aliyetengeza mwili wa Ultron kule korea (Avengers age of ultron)
For me i go for Tony maana Availability ya Tony kwa Avengers kwenye Infinity War ilikua haiwezekani coz alikua in space na akina Strange pia hawakua kwenye same page thus Captain had no option than introducing them to WAKANDA.

Tony is da smartest kwa this universe maana he did the unthiñkable kabla hajafa
 
Yeeeeeeeees,maanake wataiweka wanavyoona wao ina fit

Nahisi waona it's not fair kumfanya Richard awe the smartest person ever lived bcoz utamtoa mzee Mr stark na Tony stark mwenyewe wakati in our universe Tony ndio the smartest nahisi then ndio watakuja hao kina Bruce burner.
However kwenye comic Da'Vinci correct the if am wrong shuri ndio mwenye akili moja ya sababu ilikua bcoz walipima pale alipoweza kujua jinsi ya kutoa mind stone kwenye bichwa [emoji28] ya Vision

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu, bro, wacha kumlinganisha Dr. Reed Richard na hao raia wengine. Tafadhali bro, ahsante.

Rocket Raccon mwenyewe ni smarter kuliko stark, na alimwambia(put stark in his place) kwenye endgame, "you are only smart on earth"

Yaan hata kuwaweka pym na banner on the same calliber na stark ni kuwadharau hao jamaa. Tony is rich, ukiwa rich unaweza nunua kitu au mtu yeyote ile, hence unaweza nunua u-smartness wa mtu.

Tony anapesa chafu, ambayo inampa manufaa zidi ya wengine.
 
For me i go for Tony maana Availability ya Tony kwa Avengers kwenye Infinity War ilikua haiwezekani coz alikua in space na akina Strange pia hawakua kwenye same page thus Captain had no option than introducing them to WAKANDA.

Tony is da smartest kwa this universe maana he did the unthiñkable kabla hajafa
unthinkable gani hiyo mkuu?
 
Hapo shuri alimjibu “I’m sure you did your best” aliwajibu in polite way

and mimi sio wa comics sana ila Riri sio alitengeneza hiyo suit yake katika lab za MIT au
Sema dogo ndo vile tu anapewa credit mingi tayari, stark alishatengeneza suits hizo sio moja, zaidi ya kumi. so blueprints ipo tayari, ni kukomaa kwa dogo tu. Mimi nasubiria kuona power source ya hiyo suit iyakuwa nini.
 
Sema dogo ndo vile tu anapewa credit mingi tayari, stark alishatengeneza suits hizo sio moja, zaidi ya kumi. so blueprints ipo tayari, ni kukomaa kwa dogo tu. Mimi nasubiria kuona power source ya hiyo suit iyakuwa nini.
Power source swali zuri...

Dogo alikuwa Mentored na Stark, baada ya kufariki stark kama kawaida yake anavyofikiria mbele aliamuachia AI alioupload subconscious yake ikawa inamsuport dogo

Japo kwenye Movie sijui itakuwaje, sema dogo nae ana assistant wake kama Friday ambae yeye dogo alimpa jina la best friend wake aliefariki... nataka kusikia sauti yake itakuwaje?
 
For me i go for Tony maana Availability ya Tony kwa Avengers kwenye Infinity War ilikua haiwezekani coz alikua in space na akina Strange pia hawakua kwenye same page thus Captain had no option than introducing them to WAKANDA.

Tony is da smartest kwa this universe maana he did the unthiñkable kabla hajafa

Make sense
 
niaje wakuu, natumai mpo pouwa. mimi ninataka ku-share some nuggets of gold katika maswala ya film, ingawa sio mcu, ila madirector au events, na actors ni favourite kutoka mcu.

1. The gray man
Aisee, hii kitu iko pouwa. kama mliangalia terminal list mkaipenda, basi hii utaipenda pia. ina vibe la "john wick, nobody na extraction" kwa pamoja. Directors ni The Russo bros(hakuna mcu bila hawa jamaa), wameitendea vyema movie, pia yupo "cap A" katika nafasi ya roho mbaya, kwa maoni yangu kaitendea vyema sana, Pia kuna ryan gosling, mwamba alipotea sana, kafanya vyema sana, hopefully ndo itakuwa time ya yeye kurudi kwenye spotling.

imeshatoka, imeandalia na netflix.


2. The Woman King
Bila shaka wote tunawafahamu "Dora miraje", wale walinzi wa familia ya kifalme ya Wakanda, pia wanashika nafasi ya ujenerali katika nchi ya wakanda(kwenye what if tuliona mama yake black panther ni general anayeongoza jeshi la waknda, pia alitoka katika kikosi cha Dora miraje){Pia Black ponther ali-freeze alivyomuona lupita nyongo ambae ni covert operative/spy kutoka kikosi cha dora miraje, labda tungekuja kuona black panther akimuoa huyo dora miraje.[Until Valhalla, Chadwick.]}.

Sasa, tushawahi kufikiria labda Dora miraje ni "Inspiration" kutoka historia ya kweli? Kwamba kuna kikundi cha kijeshi cha wanawake watupu kilichowahi kuwepo hapa africa? Na kilikuwa vyema katika medani za vita?

Woman King inatupa muono kidogo wa kikosi cha walinzi wanawake wa ufamle wa Dahomey(Dahomey women warriors), waliokuwa na jukumu la kulinda familia ya kifamle na ufamle wa dahomey kwa ujumla. imekaa pouwa sana{trailers}, pia humo ndani kuna fight scenes{kutoka kwenye trailer} zimekaa ki-dora miraje sana(tunajua kutokana na mcu, dora miraje wako pouwa sana, si waoga, na wanajua wakifanyacho, well, bucky, cap A mpya na yule Cap A wa muda kutoka falcon and winter soldier, wanaifahamu shughuli yao ipasavyo). Dahomey inapatika huko Benin.

Waigizaji, mimi nimemuona na kumfahamu mmoja tu, yule mother black wa kwenye Suicide squad. anatoa shoo ya nguvu.

bado ni trailer tu, ila inatoka mwezi wa 9 au 10. kwa maoni yangu, ni worth the watch.
Aliye pendekeza the terminal list abarikiwe mno. Ngoja nicheki trela ya grayman nione
 
THE DAY SHIFT

Hii Movie sio kama Movie nyingine nimeamua kuizungumzia kwa sababu ya mapenzi yangu binafsi kama...

1. CASTING
Jamie Foxx, Snoop Dogg and Dave Franco... sintomzungumzia Franco ntazungumzia hawa ma legends wawili, yaani Hollywood wamenigusa kwa sababu wamekutanisha Favorites kutoka kwenye Muziki (Snoop Dogg) na kwenye Movies ( Jamie Foxx)...you can tell from my Avatar mimi ni Huge fan wa jamaa

Foxx anaweza akabadilika roles tofauti tofauti habaatishi, anaweza toka ku act kama rais(white house down) akaja kuwa family man(Just mercy) anaweza kuwa Vigilante (Robin-Hood) anaweza kuwa Nerd(amazing spider-man) anaweza kuwa mtu wa vengeance (project-power) yaani jamaa ni power house..ikija kwenye suala la roles-changing and yeah bila kusahau Comedy anajua pia [emoji1430]

2. GENRE
Fantasy, action na ina comedy kwa ndani ndio mahala pake plus snoop analeta vibe la Sherrif mambo za country ndani, kwa kifupi this Movie was made for me [emoji28]

ambae atakaekuwa interested na hii movie trailer link ipo kwa chini [emoji1427]
DB98B372-AF14-4624-A270-7B2DF5CD41A7-19027-00000534396C46D9.jpg


 
Back
Top Bottom