bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Hakuna Mtu aliyeangalia The Boys akaishia njiani yaani hakunaaa,Samahani ndugu zangu naomba alaumiwe aliyenipa wazo la kuangalia the hoys.
Kwangu mm kwenye upande wa dialogue naona season 2 mwishoni na season 3 ndio bora sana.
Nikimuangalia frenchie(serge), kimiko,hughie,MM na billy wana connection flani hivi wakiwa wanaongea
Unaenjoy kuwaangilia wakiwa wanaongea imagine katika hayo yote kimiko anaongea kwa signs
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kilevi kinachoitwa CreativityHakuna Mtu aliyeangalia The Boys akaishia njiani yaani hakunaaa,
Ile series ni kiboko aisee sijui wametia kilevi gani aise
Watazingua sana, wamuondoe drax aisee
Watazingua sana, wamuondoe drax aisee
Itakuwa Drax kama sijasahau Dave Bautista aliwahi kudokeza kwamba mkataba wake na marvel uko karibu kuisha.akifa Drax ntakuwa natabasamu
Release date? Vipi bullet train imeshatoka?THE DAY SHIFT
Hii Movie sio kama Movie nyingine nimeamua kuizungumzia kwa sababu ya mapenzi yangu binafsi kama...
1. CASTING
Jamie Foxx, Snoop Dogg and Dave Franco... sintomzungumzia Franco ntazungumzia hawa ma legends wawili, yaani Hollywood wamenigusa kwa sababu wamekutanisha Favorites kutoka kwenye Muziki (Snoop Dogg) na kwenye Movies ( Jamie Foxx)...you can tell from my Avatar mimi ni Huge fan wa jamaa
Foxx anaweza akabadilika roles tofauti tofauti habaatishi, anaweza toka ku act kama rais(white house down) akaja kuwa family man(Just mercy) anaweza kuwa Vigilante (Robin-Hood) anaweza kuwa Nerd(amazing spider-man) anaweza kuwa mtu wa vengeance (project-power) yaani jamaa ni power house..ikija kwenye suala la roles-changing and yeah bila kusahau Comedy anajua pia [emoji1430]
2. GENRE
Fantasy, action na ina comedy kwa ndani ndio mahala pake plus snoop analeta vibe la Sherrif mambo za country ndani, kwa kifupi this Movie was made for me [emoji28]
ambae atakaekuwa interested na hii movie trailer link ipo kwa chini [emoji1427]
View attachment 2309289
Release date? Vipi bullet train imeshatoka?
Yeah alisema hivyo akapunzike sio mbayaItakuwa Drax kama sijasahau Dave Bautista aliwahi kudokeza kwamba mkataba wake na marvel uko karibu kuisha.
Naona kachukua nafasi ya Philip J. CoulsonYeah alisema hivyo akapunzike sio mbaya
Hivi mnaona wong sku hizi kwenye projects za Marvel anatokea everywhere π
Coulson alikuwa ni central figure, alisaidia kuwakusanya team ya avengers pamoja tangu Ironman 1. Wong ana kazi hiyohiyo.Naona kachukua nafasi ya Philip J. Coulson
Kabisa ila ile Trailer ya She-Hulk appearance ya DD ni kitu kingineCoulson alikuwa ni central figure, alisaidia kuwakusanya team ya avengers pamoja tangu Ironman 1. Wong ana kazi hiyohiyo.
Yaaani ni hatari.Hakuna Mtu aliyeangalia The Boys akaishia njiani yaani hakunaaa,
Ile series ni kiboko aisee sijui wametia kilevi gani aise
Nadhani aliaga kabisa kule inst kwenye akaunti yake kama sikoseiItakuwa Drax kama sijasahau Dave Bautista aliwahi kudokeza kwamba mkataba wake na marvel uko karibu kuisha.
Nadhani kwa vile yeye ndio sourcerer supreme,maanake tungekuwa tunamuona kila mahali steve strangeYeah alisema hivyo akapunzike sio mbaya
Hivi mnaona wong sku hizi kwenye projects za Marvel anatokea everywhere [emoji28]
Jukumu la sorcerer supreme ni nini?Nadhani kwa vile yeye ndio sourcerer supreme,maanake tungekuwa tunamuona kila mahali steve strange
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
wong si ndo sorcerer supreme saa hivi, anakusanya vijana. Plus da vinci alishawahi kusema sorcerer supreme anatakiwa ajue/asipitwe na jambo linalohusu dunia yetu. Naona wanatilia mkazo tu hapo.Yeah alisema hivyo akapunzike sio mbaya
Hivi mnaona wong sku hizi kwenye projects za Marvel anatokea everywhere π