Mtu ambae Task master hua humimic moves zake ni Moon Knight maana jamaa ni gaidi sana unaweza kumpiga ngumi asiikwepe wala kuipangua. Anakuacha umpige hadi vidole vyako viteuke. Why? Ana Abnormal Pain Tolerance pia matatizo yake ya akili huchangia.task master kwenye comics kuna mtu alishindwa ku mimic fight moves, alikuwa deadpool au?
Mtu ambae Task master hua humimic moves zake ni Moon Knight maana jamaa ni gaidi sana unaweza kumpiga ngumi asiikwepe wala kuipangua. Anakuacha umpige hadi vidole vyako viteuke. Why? Ana Abnormal Pain Tolerance pia matatizo yake ya akili huchangia.
Mwingine mwenye mbinu ya kuacha umpige hadi uumie wewe ni Jack Murdock baba yake Mathew Murdock/Daredevil
nimeitazama jana usiku nimeipanda naona Hulk na Banner wanaishi kwa kuviziana maana Bruce ana device inayoziwia Hulk kuchukua control sasa walivyopata ajali ile device imevunjika Smart hulk karudiKuna mtu kashaaangalia she-hulk? maana mwanzo nlihis cgi mbaya ila kadri zilivyotoka trailers nikawa nimevutiwa, plus ile appearance ya DD imekuwa insane
Ila kama DD asingetokea kwenye trailer halafu wangetushtua kipindi tunaangalia ndio jamaa angetokea as a suprise, aisee watu wange faint 😂
I guess maana wengine hawapoThanks mate.. Hope y'all are doing great
Nataka nitulie niichek baadae kidg usiku huu huunimeitazama jana usiku nimeipanda naona Hulk na Banner wanaishi kwa kuviziana maana Bruce ana device inayoziwia Hulk kuchukua control sasa walivyopata ajali ile device imevunjika Smart hulk karudi
Wamemuonyesha DD kwenye trailer ili kuipa hype maana watu walikua wanaiponda. Mimi nasubiri kumuona Skaar mtoto wa Hulk
Ni kweli WB hawana mpango wa kumrudisha Henry Cavil wala Zack Snyder.Wakuu eti henry cavil wanamuondoa kwenye usuperman ni kweli?? Nimeona wadau mbali mbali wamepinga swala hili na kutoa maoni kuwa kama henry akitolewa bus movie zao wataangalia wenyewe ila kwa upande wangu katika superman's wote huyu jamaa ametisha ni the best superman.
Ipo rumoured hivyo kwamba Henry ataigiza Hyperion. Nguvu za hyperion zipo sawa na Superman.Pia nikakutana na hiii je jamaa ata fit humu baada yq marvel kuona dc wanasua sua sasa wanataka kumueka humu kama dc wakimuacha huyu jamaa mauzo ya superman zijazo yatashuka.View attachment 2329286
Ezrq sijuzi kaomba msamaha maana wanasema alikuwa hana displinNi kweli WB hawana mpango wa kumrudisha Henry Cavil wala Zack Snyder.
Kuanzia Zack,Henry,Ezra, Raymond Fisher,Ben Affleck hawa wote wanapigwa chini haijulikani watarudi au lah.
Wamebaki Gal Gadot na Jason Momoa
Huko mtandaoni mashabiki wa henry na superman wameanzisha na campaign kabisa ya kuludishwa kwa henry hata mimi nasapot hawa wb wanataka wafilisike hakuna superman aliokosha watu kama henry aisee na nimeona huyu jamaa apa tyler ndo naskia ataendelea kuwa kama superman na kuna campaign pia imeanzishwa watu wanamtaka tena ben afleck aludi kama batman hili pia naunga mkono batman 2022 ni mbaya kinyama yani haina hata mvuto niliiingalia nusu sikumaliza hadi leoIpo rumoured hivyo kwamba Henry ataigiza Hyperion. Nguvu za hyperion zipo sawa na Superman.
Hyperion ni kiongozi wa Squadron Supreme tatizo ni kwamba hili kundi lipo out of time yaani halipo kwenye Marvel Universe hii tunayoijua ndio maana watakuwepo kwenye Loki. Coz Loki/TVA is operating out of time.
So kama Henry akiwepo kwenye Loki tusimtegemee kumuona kwenye main universe ya Marvel. Labda kama waandaaji wataenda kinyume na Comics
Jamaniiii kumbe na wewe ni ka cute,Kama ka Da'Vinci hapo in red[emoji41][emoji41]
View attachment 2328648
Sasa nawaza kutakua na second season au walikua wanajifurahisha tu huko studio??Hahah kanaaangaika kale nako
Mbona sielewi...Uzi wa marvel mnapiga story za Superman...hivi hakuna Uzi wa DC??Huko mtandaoni mashabiki wa henry na superman wameanzisha na campaign kabisa ya kuludishwa kwa henry hata mimi nasapot hawa wb wanataka wafilisike hakuna superman aliokosha watu kama henry aisee na nimeona huyu jamaa apa tyler ndo naskia ataendelea kuwa kama superman na kuna campaign pia imeanzishwa watu wanamtaka tena ben afleck aludi kama batman hili pia naunga mkono batman 2022 ni mbaya kinyama yani haina hata mvuto niliiingalia nusu sikumaliza hadi leo View attachment 2329313