Marxism–Leninism

Marxism–Leninism

Uhusiano baina ya Napoleon Code na Marxism-Leninism ni mdogo sana. Napoleonic code ilikuwa ni mfumo wa sheria za dola huko Ufaransa, wakati Marxism-Leninism ulikuwa ni mfumo wa maisha ya jamii huko Urusi ukiwa umehasisiwa Ujerumani. Zinakutana tu katika ile nadharia ya Base and Superstructure ya Marx na Engels. Hata hivyo katika historical timelines, zilikuwa na ukinzani kidogo kwa vile Napoleone Code ilikuwa upande wa bourgeoisie wakati Marxism-Leninism ilikuwa upande wa proletariat.

Asante sana, nilisoma pia The Army during Roman Empire, wale ndiyo walianzisha penshin. Wanajeshi walilipwa shiling 5 kwa mwezi lakini shilingi moja ilikwenda kwenye pensheni. Waliwenza kumudu maisha vizuti tu baada ya kustaafu.
 
Asante sana, nilisoma pia The Army during Roman Empire, wale ndiyo walianzisha penshin. Wanajeshi walilipwa shiling 5 kwa mwezi lakini shilingi moja ilikwenda kwenye pensheni. Waliwenza kumudu maisha vizuti tu baada ya kustaafu.
Swala la pensheni sijui, lakini hata hivyo wakati wa himaya ya warumi hakukuwa na "Shillingi" kwa vile Schilling za kwanza zilitumika Scotland na England miaka ya 1700 ikiwa ni muda mrefu sana, yaani zaidi ya karne 16 baada ya Himaya ya warumi kuanguka. Sarafu ya warumi ilikuwa dinari: la kuelewa tu ni kwamba wanajeshi katika utawala wa warumi walikuwa wanalipwa dinari nyingi zaidi ya raia yeyote kwa sababu kila mwanajeshi alitakiwa ajinunulie silaha, farasi pamoja na mavazi ya kivita yeye mwenyewe. Hakukuwa na silaha au mavazi ya mgawo wa jeshi.
 
Swala la pensheni sijui, lakini hata hivyo wakati wa himaya ya warumi hakukuwa na "Shillingi" kwa vile Schilling za kwanza zilitumika Scotland na England miaka ya 1700 ikiwa ni muda mrefu sana, yaani zaidi ya karne 16 baada ya Himaya ya warumi kuanguka. Sarafu ya warumi ilikuwa dinari: la kuelewa tu ni kwamba wanajeshi katika utawala wa warumi walikuwa wanalipwa dinari nyingi zaidi ya raia yeyote kwa sababu kila mwanajeshi alitakiwa ajinunulie silaha, farasi pamoja na mavazi ya kivita yeye mwenyewe. Hakukuwa na silaha au mavazi ya mgawo wa jeshi.
Asmte mkuu.
 
Sijui umepiata wapi hii lakini iko shallow sana. Ukitaka kuijua Marxism-Leninism sawasawa, inabidi usome mambo haya ambayo yote yalianzia Ujerumani:

(1) Hegelian Philosophy ya Hegel
(2) Classical Marxism ya Marx
(3) The Communist Manifesto ya Marx na Engels

Hegelian Philosophy ilikuwa proposed na mjerumani Georg Friedrich Hegel ambayo ililenga zaidi maana ya uhuru (Liberty). Classical Marxism ilikuwa proposed na mjerumani mwingine, Karl Marx akisema kuwa maisha ya jamii ni mfululizo wa mapambano baina ya watawala (bourgeoisie) na watawaliwaji (the proletariat). Mapambano hayo yakikomaa yanaifikisha jamii kwenye Ujamaa (Socialism). Baadaye sana Marx akishirikiana na mjerumani mwingine Friedrich Engels walieendeleza ile Classical Marxism kuwa the Communist Manifesto. Mtililiko huo wa mawazo uliingiza vitu vingi sana kama vile Dielectical Materialism, Surplus Value, Base and Superstructure na mengineyo mengi tu. Miaka kama mitano iliyopita tuliwahi kuwa na mjadala mrefu hapa Jamii forum wa kuhusu theories za Karl Marx. Ukisearch utaweza kuipata thread hiyo.

Vladimir Lennin alichofanya ni kuadapt ile Communist Manifesto ya Marx na Engles na kuifanya kuwa dira ya Urusi kwa mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom