Marxism–Leninism


Asante sana, nilisoma pia The Army during Roman Empire, wale ndiyo walianzisha penshin. Wanajeshi walilipwa shiling 5 kwa mwezi lakini shilingi moja ilikwenda kwenye pensheni. Waliwenza kumudu maisha vizuti tu baada ya kustaafu.
 
Asante sana, nilisoma pia The Army during Roman Empire, wale ndiyo walianzisha penshin. Wanajeshi walilipwa shiling 5 kwa mwezi lakini shilingi moja ilikwenda kwenye pensheni. Waliwenza kumudu maisha vizuti tu baada ya kustaafu.
Swala la pensheni sijui, lakini hata hivyo wakati wa himaya ya warumi hakukuwa na "Shillingi" kwa vile Schilling za kwanza zilitumika Scotland na England miaka ya 1700 ikiwa ni muda mrefu sana, yaani zaidi ya karne 16 baada ya Himaya ya warumi kuanguka. Sarafu ya warumi ilikuwa dinari: la kuelewa tu ni kwamba wanajeshi katika utawala wa warumi walikuwa wanalipwa dinari nyingi zaidi ya raia yeyote kwa sababu kila mwanajeshi alitakiwa ajinunulie silaha, farasi pamoja na mavazi ya kivita yeye mwenyewe. Hakukuwa na silaha au mavazi ya mgawo wa jeshi.
 
Asmte mkuu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…