Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ananuka damu ya watu wa Arusha ,asivyo na haya sijui ana smile niniMary Chatanda
![]()
Ni kweli ana nafuu maana huyu mwingine yeye kila wakati ni kama anatoka kuamkaana nafuu mara 100 kuliko Makinda
kwa uzuri ni mzuri tuache ushabiki!!!!! na hiyo guest kujenga si ajabu tena mnasema kaguest? huyu mama anaweza kujenga liguest kwa kuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa mbao za umeme ana malori ambayo husafirisha mbao zake kwenda kenya!!! msiwe mnaropoka bila kuchunguza!!!! hiyo ni moja tu ya biashara zake!!!!
Mary Chatanda
![]()
She is actually Beautiful than i thought she is....[/QUOT
Is chatanda beutiful?!! ama unatania mkuu..naamini kama ni hivo basi bibi yangu(89) ungemuona ungeshangaa jinsi anavyomeremeta kuliko chatanda...
She is actually Beautiful than i thought she is....