Mary Emmanuel Mollel: Usalama wangu uko hatarini baada ya kumfungulia kesi ya madai msanii Marioo

Mary Emmanuel Mollel: Usalama wangu uko hatarini baada ya kumfungulia kesi ya madai msanii Marioo

Hii clip nlionaga muda sana,na hajasema kwanini ya yeye kutishiwa/sababu hajaweka wazi
Inawezekana naye labda kadhulumu

Ova
 
Hii clip nlionaga muda sana,na hajasema kwanini ya yeye kutishiwa/sababu hajaweka wazi
Inawezekana naye labda kadhulumu

Ova
Hii clip nlionaga muda sana,na hajasema kwanini ya yeye kutishiwa/sababu hajaweka wazi
Inawezekana naye labda kadhulumu

Ova
 

Attachments

  • Screenshot_20241026-195520_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195520_Office.jpg
    165.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241026-195527_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195527_Office.jpg
    226.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241026-195535_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195535_Office.jpg
    208 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241026-195545_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195545_Office.jpg
    145 KB · Views: 4
MARY Mollel; mkazi na Mfanyabiashara wa Mkoa wa Arusha, Amuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupata uhuru wake ,ndani ya miaka 3 anaishi kwa kujificha.
Ina maana yote haya hadi mauaji sabb ni fine ya 15mil duh
 
Sasa hapa ndipo mjue watekaji huwa ni akina nani. Yaani unaondoa maisha ya watu wawili sababu ya kukwepa fidia ya 15M?
 
Mary Mollel: Mkurugenzi wa kismaty Media kukimbilia Umoja wa Mataifa.

Mauaji ya familia yake, baadhi ya viongozi na magaidi Kenya wahusishwa.

Screenshot_20241026-195520_Office.jpg
Screenshot_20241026-195527_Office.jpg
Screenshot_20241026-195535_Office.jpg
Screenshot_20241026-195545_Office.jpg
 
Mkurugenzi wa Kismaty Advert Media Company Ltd, Bi Mary Mollel, mfanyabiashara kutoka mkoa wa Arusha, amekimbilia Umoja wa Mataifa kuomba msaada kutokana na hofu ya usalama wake na wa familia yake. Bi Mollel anadai kuwa tangu mwaka 2022 amekuwa akipokea vitisho mbalimbali, hali iliyosababisha ndugu zake wawili kuuawa kikatili mwaka uliofuata, mara tu baada ya kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha.

Amesema kuwa licha ya kuomba msaada, bado hajakata tamaa, ingawa anaamini uongozi wa juu huenda haujui kuhusu hali yake kutokana na baadhi ya viongozi wanaodaiwa kuhusika katika uhalifu huo kuzuia upatikanaji wa msaada. Katika barua yake ya awali kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Bi Mollel aliweza kufafanua chanzo cha matatizo yanayomfanya aishi kwa kujificha kwa zaidi ya miaka mitatu.

Aidha, kwenye barua hiyo, aliwataja baadhi ya viongozi pamoja na msanii Marioo na uongozi wake, ambao walifungua kesi ya madai dhidi yake, hali iliyomlazimu kuishi kwa tahadhari kubwa.
Screenshot_20241026-195520_Office.jpg
Screenshot_20241026-195527_Office.jpg
Screenshot_20241026-195535_Office.jpg
Screenshot_20241026-195545_Office.jpg
 
Mkurugenzi wa kismaty advert media company Ltd Bi Mary Mollel ,mfanyabiashara wa mkoa wa Arusha, sasa amekimbilia umoja wa mataifa kwa kuomba msaada kwa hofu ya uslama wake na familia .madai yake tangu mwaka 2022 alipokea vitisho mbalimbali na kupelekea hadi ndugu zake wawili kuuliwa kikatili mwaka uliofuata, mara tu alipotoa taarifa kwa jeshi la Polisi mkoa wa Arusha .jitihada za kuomba msaada amesema bado hajakata Tamaa anahisi Uongozi wa juu haujui jambo hili kwasababu ya baadhi ya viongozi walio husika katika uwalifu huo ndio wanazui kutopata msaada kwa haraka,kwenye barua yake ya awali kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan aliweza kuelezea undani wa chanzo cha tatizo ya yeye kuishi kwa kujificha ndani ya miaka mitatu.
Hata hivyo kwenye Barua hiyo aliweza kuwataja baadhi ya viongozi na aliyemfungulia kesi ya madai msanii Marioo na management yake hadi kupelekea yeye kuishi kwa kujificha
 

Attachments

  • Screenshot_20241026-195520_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195520_Office.jpg
    165.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241026-195527_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195527_Office.jpg
    226.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241026-195535_Office.jpg
    Screenshot_20241026-195535_Office.jpg
    208 KB · Views: 1
Mkurugenzi wa Kismaty Advert Media Company Ltd, Bi Mary Mollel, mfanyabiashara kutoka mkoa wa Arusha, amekimbilia Umoja wa Mataifa kuomba msaada kutokana na hofu ya usalama wake na wa familia yake. Bi Mollel anadai kuwa tangu mwaka 2022 amekuwa akipokea vitisho mbalimbali, hali iliyosababisha ndugu zake wawili kuuawa kikatili mwaka uliofuata, mara tu baada ya kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha.

Amesema kuwa licha ya kuomba msaada, bado hajakata tamaa, ingawa anaamini uongozi wa juu huenda haujui kuhusu hali yake kutokana na baadhi ya viongozi wanaodaiwa kuhusika katika uhalifu huo kuzuia upatikanaji wa msaada. Katika barua yake ya awali kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Bi Mollel aliweza kufafanua chanzo cha matatizo yanayomfanya aishi kwa kujificha kwa zaidi ya miaka mitatu.

Aidha, kwenye barua hiyo, aliwataja baadhi ya viongozi pamoja na msanii Marioo na uongozi wake, ambao walifungua kesi ya madai dhidi yake, hali iliyomlazimu kuishi kwa tahadhari kubwa.View attachment 3150968View attachment 3150969View attachment 3150970View attachment 3150971
 

Attachments

  • 354506.jpg
    354506.jpg
    14.5 KB · Views: 2
  • 5877908-768a8aa56400ce5f05c92724bead0968.mp4
    6.7 MB
Daaah, mambo makubwa na yanatisha sana ktk maisha... Mil 15.5 imesababisha vifo vya watu 2, mbona mbaya sana hii
 
Wanawake hawa,mario si mtu wa kumfata tu na kumwambia aongoze kituoni.
Hapo kakopwa anaenda kuandika statement kuubwa.
Ukiachwa achika.

mahesabu makali sana hayo. Watu wanataka maokoto. R chuga kuna matapeli wengi sana
 
DC na huyo mlamba lips ni wakuogopwa hadi kwenda UN?😂.

Kwa tulipifika tunamalizana tu juu kwa juu.....
 
HII NCHI MAHAKAMA ZIMEOZA, MAPOLISI WAMEOZA , MA DC,RC WAMEOZA YAANI KIFUPI WOTE NI MAJAMBAZI KWAHIYO MTU KUPATA HAKI YAKO LAZIMA KU DEAL NA KIJAMBAZI JAMBAZI TU !!!!!!! HAMNA CHA IGP WALA RAIS WANAWEZA SAIDIA!!!!POLE SANA MADAM MARY MOLLELI #KATIBA MPYA!!!
 
Back
Top Bottom