Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mambo ya siasa tu haya, ila hakuna ukweli wowote
Nani atafungua duka lake na kuajiri wafanyakazi zaidi ili auze 24/7
Nimpe fisi bucha eti
Na huyo wa kutembea na hela akafanye manunuzi saa 6 ya usiku anajielewa ?
Nani atafungua duka lake na kuajiri wafanyakazi zaidi ili auze 24/7
Nimpe fisi bucha eti
Na huyo wa kutembea na hela akafanye manunuzi saa 6 ya usiku anajielewa ?