Aaah wamezidi tatizo maneno mengi vitendo kiduchu tumeni lunch vocha na dinner km mtaona hizi kelele au hayo makofuli, maana makofuli nayo yanafanya watu tupishane na magari ya mshahara😆😆😆 anategesha ulezi vibaya. Halafu analaumu kwa nini ndege wanakula.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
RealMumy🔥🔥
MshangaziNi kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Hii ni comment kubwa mno , 😅Aaah wamezidi tatizo maneno mengi vitendo kiduchu tumeni lunch vocha na dinner km mtaona hizi kelele au hayo makofuli, maana makofuli nayo yanafanya watu tupishane na magari ya mshahara
Mwezi tayariMi kanisambazia dislike sio powa
Kaja na I'd nyingine kakupa reaction ya mahaba 🤣🤣🤣Mi kanisambazia dislike sio powa
😘😘RealMumy🔥🔥
Nasemaje, sitaki nawala sitakaa ni take hata iweje😆Sizitaki mbichi hizi kama hutaki lakini unataka