Masaa 24 ndani ya JF (Personal opinion)

Masaa 24 ndani ya JF (Personal opinion)

Weka ushahidi apa nani akutongoze wewe Acha kujikweza,gundu limekujaa et vivulana kwanza humu hakuna wavulana
Maweed....
Majaniii
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ™Œ
 
Sizani kama anajiamini...
Na yote haya kwa kuwa hana zile T tatu tatu...
Yaani Tako,Titi na Tumbo...

Hivo kiufupi ni local antiel ambaye anataka vijana wamfate serious sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mkuu sina cha kuongeza , ukisema wewe kuhusu mishangazi hakuna mjadala tena๐Ÿ˜…
 
Mshangazi ulikosea sana ile kauli yako ya hakuna wanaume humu , ungekua karibu ningekutolea udhibitishe๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.

Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.

Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Kwa anonymity Ids shangazi unatukosea sana adabu kwa kusema uongo.

Utamjuaje mtu kuwa ni mvulana bila kuwa na utambulisho wake rasmi?

Au shangazi umeamua tu kuwachokoza nyuki ili uone kama wanang'ata?
 
Back
Top Bottom