Wapo busy kuzima moto na mheshimiwa Kigwangalauvccm sijui wako wapi?
Ule uzalendo njaa umeyeyuka.
Moto unaelezwa bado upo wa kutosha.
watu wanazima moto kwa mateke na fimbo unategemea nini chief?Kama ulizimwa umeanzaje tena au haukuzimwa vizuri?
Jamaa wamenishangaza sana, moto kwakweli bado ni mkubwa sanawatu wanazima moto kwa mateke na fimbo unategemea nini chief?
☝️Ninachofahamu mimi, huo moto ukizimika, hio ardhi itakuwa na mbolea safi sana na mimea itachipua vilivyo
Moto ukizima watalii watakuja kwa wingi kutoa rambi rambi kwa kivutio icho, ukishazima zifanyike juhudi kuutangaza mlima na wahamasishe wazungu waje kupanda miti kwa kulipia kuhakiksha nao wanakua katka sehemu ya #Nature_recover or #getwell_soon our nature,
Unafikiri ni jambo la kulala na kuamka tu miti iliyochukua zaidi ya miaka kukua. Bado wanyama kama ndege na wadudu waliojitengezea makazi yao. Unaonekana kipindi unasoma Geography hukuielewa vizuri.Mvua za mwisho wa mwaka zipo karibu hivyo sehemu iliyoteketea mvua zikianza pataota tena.
😀😀😀😀watu wanazima moto kwa mateke na fimbo unategemea nini chief?
Moto unazimwa kwa mateke!watu wanazima moto kwa mateke na fimbo unategemea nini chief?
Kwani kakubishia? Yeye katoa facts, take it as it is.Unafikiri ni jambo la kulala na kuamka tu miti iliyochukua zaidi ya miaka kukua. Bado wanyama kama ndege na wadudu waliojitengezea makazi yao. Unaonekana kipindi unasoma Geography hukuielewa vizuri.
Cha muhimu ni kwamba uoto ulioteketea utaota tena, hata kama ichukue karne nzima.Unafikiri ni jambo la kulala na kuamka tu miti iliyochukua zaidi ya miaka kukua. Bado wanyama kama ndege na wadudu waliojitengezea makazi yao. Unaonekana kipindi unasoma Geography hukuielewa vizuri.
Huu ndiyo utani uliopitiliza kwa jambo serious kama hili, daaaa yaani mtu anasahau huo ni moto anadhani ni jangiri kaua tembo 😂 ahahahaa!!Moto unazimwa kwa mateke!View attachment 1600870
Mimi nimemjibu kwa kumpa fact pia hakuna mahali nilipotaka tubishaneKwani kakubishia? Yeye katoa facts, take it as it is.
Kwa mawazo yako hata hizo juhudi za kuuzima moto inabidi wasitishe, Embu fatilia ujue ni madhara gani yameletwa na huo moto alafu uje hapa tujadiliCha muhimu ni kwamba uoto ulioteketea utaota tena, hata kama ichukue karne nzima.
Hata kule hifadhi ya Serengeti moto hutokea sana (muda mwingine huwashwa makusudi) karibu na msimu wa mvua ili kusafisha ardhi, mvua zinapoanza majani (uoto) huota vizuri sana na hurudisha ukijani mzuri wa kupendeza na wanyama huzaliana kwa wingi kipindi hicho.
acha propaganda moto bado hupo.uvccm sijui wako wapi?
Ule uzalendo njaa umeyeyuka.
Moto unaelezwa bado upo wa kutosha.