Masaa mawili baada ya Mange kusitisha promo ya Seduce Me, Zilipendwa yakamata #1 on Trending

Diamond... kashikilia namba yake toka alipoanza. Kafanikiwa ku-Mantain nafasi yako mpaka leo. Wangapi wameweza?! Ally Kiba... uwezo wa kukaa kimya na kurudi kubishana tena na Diamond ni uwezo wa hali ya juu ambao hata DUDU BAYA na Mr Nice wameshindwa kuonyesha. Kwangu mimi hawa wawili ngoma Dro. Kombe nalificha.

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Kiba kashafunga kurasa si shindaneni wenyewe kwa wenyewe si mpo saba?mgawane tu 3.5,3.5 muendelee kujidanganya na kujifariji aisee
 
Ijumaa jumamosi jumapili jumatatu jumanne na leo jumatano .....na zote zilitoka siku moja.....Byeee

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Sema [HASHTAG]#MangeKasema[/HASHTAG] kafunga ukurasa ila sio Ali Kiba.
Ali kafunga kurasa tangu ijumaa dkk 2 tu baada ya kuachia ngoma na ngoma bado inayoyoma,mpo saba jigaweni mshindane wenyewe jomba
 
bosi.....iyo isiwape jeuri....diamond ameamua kulipia tangazo instagram...kaspomsor page kuipa kiki zilipendwa.....na pamoja na hayo yote bado gape linazidi kutanuka.....mpaka sasa utofauti ni zaidi la viewers laki tisa....pamoja na kusponsor post bado ameshindwa kupunguza gap kati ya viewers wa video hizi mbili.
 

Attachments

  • image.png
    47 KB · Views: 42
Tuletee na gap ya viewers kipindi kipusa anatrend #1 na sasa ambako domo anatrend #1

Lexus Mayai
 
kaka mambo vipi mimi now naona seduce me ina views 2.7m and number 1 on trending Tanzania na kenya pia wcb zilipendwa una views 1.8 jamani mbona tukuwa na mateam ambayo hata haya tusaidiii kwanini tusiwakubali wote wawili kwani kuna shida gani duhhhhhhhhhhhhhhh
but SEDUCE ME IS THE BEST SONG OF THE YEAR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…