haba na haba
Member
- Oct 30, 2012
- 17
- 6
Habari za usiku jamani natumain muwazima wa afya nimuone Niweke Hii topic hapa jamvini
In short Nina mdogo wangu anataka Kuomba Chou cha kampala unversit kweli amekupenda sana sasa munanishauri vipi . Na muda umeshasogea jamani
Ukizingatia kamaliza diploma huko zanzibar
Thanks in adv
In short Nina mdogo wangu anataka Kuomba Chou cha kampala unversit kweli amekupenda sana sasa munanishauri vipi . Na muda umeshasogea jamani
Ukizingatia kamaliza diploma huko zanzibar
Thanks in adv