Masada wa Tt transfer

Wikiliki

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
528
Reaction score
141
Wanaume nimeagiza gari japani na ninatakiwa nitume hela bank ya huko. Utaratibu upoje kwa Benki za kibongo. Account yangu ipo CRDB.
 
Mkuu ni rahisi ...nenda pale bank customer care na dolari zako na details za sellers walizokutumia hao wanaokuuzia gari mambo yote watakuelekeza namna ya kujaza form...gharama dolari 50 hivi plus elfu7 hivi za stamp duty...Keisha watakupa hyo document TT una iscan then wawatumia wauzaji wako kwa email basi

pia dollar nunua kwenye Bureaus esp ya shirika pista wanakuwa na bei nzuri...benki bei zao ziko juu...ni hayo ninayojua mkuu
 
Ninaomba kuuliza tena. Kama hela ni kampuni inalipa. Utaratibu ni hii huo huo.
 
mkuu mimi natumia crdb, hahiitaji uwe na stemp wala akaunti benki , unachokfanya ni kutuma dola kwenye akautni ya nje lets say japan ila corressponding bank ni crdb au yoyote utayoichagua... chaji/commission ya crdb ilikuwa kati ya dola 10 nadhani saivi ni kama elf20 ivi, nenda na invoice toka kwa supplier. Kama supplier amekwambia ni CIF dola 2000 nenda na dola elfu 2000 kamili plus commssion ya benki , then utajaza fomu na hakikisha wanakukatia kipande cha TT ambacho uwa na muda , stamp ya benki pamoja na sahihi ya mpokea pesa benki, icho kipande ndo unamscania supplier kumtaarifu kuwa umelipa... after 48 hours pesa itakuwa japan, then mzigo unaletwa...mkuu kama unanunua japan be careful nunua kwa trusted supplier,mainly makampuni, siku izi watu wanalizwa balaa na wanigeria wakidhani ni wa japan, mtu anasubiri gari mpaka kesho kutwa. Kama unanunua mtandaoni then walipe watu wa mtandao na si direct kwa supplier, apo utaongeza dola kidogo kama dola 170 kwa vigari vidogo ili gari izuiwe mpaka hapo itakapopanda meli...iyo inaitwa PAYTRADE, ila ukiwa mbaili wa dola170 then unaliwa mzigo mzima. ALL THE BEST COMRADE.
 
nami nimepata msaada wa namna ya kutuma hiyo pesa mamtoni
 
Nimekupata mkuu. Nimeagiza trade car view na nimelipia pay trade. Mimi nina kampuni na ina account ya dollar na hela inalipwa na kampuni nilitaka kujua utaratibu ili niwajulishe signatories wengine.
 

Ambaye amemsoma huyu mzee anieleweshe
 
Nimekupata mkuu. Nimeagiza trade car view na nimelipia pay trade. Mimi nina kampuni na ina account ya dollar na hela inalipwa na kampuni nilitaka kujua utaratibu ili niwajulishe signatories wengine.

TT kwenda nje ni $50 kwa CRDB.

Nenda na hela unazotaka kulipa, kisha ongeza dola 50.

Sasa kama ni kampuni ndio inalipa basi ni bora kampuni hiyo ikaandika cheki ikiwa imesainiwa, na mlipwaji akiwa jina la benki yako hiyohiyo mliofyngua akaunti na waweke hizo $50 extra. Then Cheki hiyo itaambatana na Transfer Form ya hiyo benki nayo ikiwa imesainiwa na signatories.

Pia Cheki, form nazo zitaambatana na Copy ya Invoice from supplier pamoja na "Cheque List"(if any) kisha mnaziwakilisha benki.

Anatakiwa aziwasilishe" authorized agent" wa kampuni yenu anaetambulika benki .

Lingine?
 
Jinsi ya kujiunga na pay trade inafanyaje

wakati unafanya payment online kabla ya final invoice, utaletewa option na mtandao wa kulipa including paytrade au kulipa tu ile ela ya supplier iliyoandikwa kwenye profoma invoice ila risk inabaki kwako. Sijui kama naeleweka mkuu
 
Makampuni yapi ambayo yanaaminika huko japan unaweza lipa bila kutumia pay trade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…