Masada wakikanuni

Masada wakikanuni

Essien jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
580
Reaction score
1,088
Wasalam wadau.

kuna Ligi inaendelea mahala, imetokea timu zimekuwa na pointi sawa na magori ya kufunga na kufungwa ni sawa. kwamaana ya timu "A" ina pointi 4,imefunga gori 4 na imefungwa gori 4, wakati timu "B" ina point 4, imefunga gori 2 na imefungwa gori 2!!!.

swali, je ni timu ipi inapsawa kufuzu/kuendelea??? Na kwa kanuni zipi zitumike ktk holiday???
 
Inategemeana na muongozo wa kanuni zenu.

Kwa mantiki hii ni kuwa kila timu ina goal difference ya zero.

Anayepita ni huyo mwenye magoli mengi ya kufunga. Yaani huyo aliyegunga magoli manne.

Kama endapo wangelingana pia magoli ya kufunga basi wanaangalia head to head.
 
Inategemeana na muongozo wa kanuni zenu.

Kwa mantiki hii ni kuwa kila timu ina goal difference ya zero.

Anayepita ni huyo mwenye magoli mengi ya kufunga. Yaani huyo aliyegunga magoli manne.

Kama endapo wangelingana pia magoli ya kufunga basi wanaangalia head to head.
OK. Lakini pia karuhusu mengi hapo kanuni inasemaje?
 
OK. Lakini pia karuhusu mengi hapo kanuni inasemaje?
Cha kwanza wanaangalia points.
Pili, utofauti wa magoli ya kufunga na kufungwa.
Tatu, magoli ya kufunga kwa timu hizo. Ipi yenye magoli mengi yakufunga? Hapa haihusu magoli ya kufungwa.
Nne, head to head na kadi za njano zitafuatia.

Kwa hiyo wanateremeka kwa vipengele..
 
Duh hadi kadi zinaajgaliwa?
Cha kwanza wanaangalia points.
Pili, utofauti wa magoli ya kufunga na kufungwa.
Tatu, magoli ya kufunga kwa timu hizo. Ipi yenye magoli mengi yakufunga? Hapa haihusu magoli ya kufungwa.
Nne, head to head na kadi za njana zitafuatia.

Kwa hiyo wanateremeka kwa vipengele..
 
-mwenye magoli mengi ya kufunga
-Head to head nani alishinda
-Kadi za njano
-kadi nyekundu
 
Back
Top Bottom