Masai wakatazwa kutembea na fimbo Zanzibar; Je, Wamasai wamewakosea nini kila sehemu mnawakataa?

Masai wakatazwa kutembea na fimbo Zanzibar; Je, Wamasai wamewakosea nini kila sehemu mnawakataa?

Masai ni jadi yake kutembea na fimbo miaka yote. Hakuna siku tumewahi kuiona fimbo ya Masai kama silaha. Kinachoendelea Zanzibar ni mwendelezo wakupambana na kabila hili kutokana na ukweli kwamba wamejaa Zanzibar na wanaongea vibaya kuhusu ngorongoro.

Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada ya Ngorongoro na matamshi yao ni wazi siyo mazuri. Pamoja na matamshi mabaya dhidi ya wenzetu, haikuwa na tija kuwapelekea askari wawapige. Wamepigwa na wao ni binadamu wakapiga. Leo limetolewa tamko hakuna ruhusa Masai kuingia zenji na fimbo wala sime......je sheria gani imetamkwa haya?

Lakini wazungu wanatembea uchi Zanzibar na hakuna askari anayewagusa....wanatembea na dogs hakuna makatazo. Wanafanya mengi mabaya lakini tupo kimya....Masai kuonekana kero ngorongoro na sasa kero Zanzibar . Tulitegemea afuge mifugo na kuishi maisha duni tumtawale ? Ameamua kujitawala.

Natambua mahakama Zanzibar itawafunga miaka mingi tena ndani ya muda mfupi ujao.....lakini one day watakuwa huru
Wamasai ni jamii ya Watanganyika waboresheni MAISHA Yao huko waweze kutulia wacheni kukwepa MAJUKIMU
 
Masai ni jadi yake kutembea na fimbo miaka yote. Hakuna siku tumewahi kuiona fimbo ya Masai kama silaha. Kinachoendelea Zanzibar ni mwendelezo wakupambana na kabila hili kutokana na ukweli kwamba wamejaa Zanzibar na wanaongea vibaya kuhusu ngorongoro.

Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada ya Ngorongoro na matamshi yao ni wazi siyo mazuri. Pamoja na matamshi mabaya dhidi ya wenzetu, haikuwa na tija kuwapelekea askari wawapige. Wamepigwa na wao ni binadamu wakapiga. Leo limetolewa tamko hakuna ruhusa Masai kuingia zenji na fimbo wala sime......je sheria gani imetamkwa haya?

Lakini wazungu wanatembea uchi Zanzibar na hakuna askari anayewagusa....wanatembea na dogs hakuna makatazo. Wanafanya mengi mabaya lakini tupo kimya....Masai kuonekana kero ngorongoro na sasa kero Zanzibar . Tulitegemea afuge mifugo na kuishi maisha duni tumtawale ? Ameamua kujitawala.

Natambua mahakama Zanzibar itawafunga miaka mingi tena ndani ya muda mfupi ujao.....lakini one day watakuwa huru
Zanzibzr ni wabaguzi, hapo inatafutwa namna ya kuwaondoa huko, kama mtu anatembea na fimbo na hajadguru mtu , na hata akiitumia kudhuru , sheria ipo atashitakiwa, kila mwanadamu ana utamaduni wake , ni utamaduni wa wamasai kutembea na fimbo. Uhuru wa mtu uheshimiwe . Wale mashehe wanatembea nafimbo hao vipi, au ni kwa watanganyika tu?
 
Hivi tamaduni za Zanzibar zinaruhusu mwanamke kuvalia na kucheza vile kwenye maeneo ya umma?
Sio beach tu mpaka masokoni wazungu wanatembea wamevaa ‘tank tops’ na vipensi wala wenyeji hawana shida.

Tena balozi nyingi huko wanakotoka wazungu wanaonywa wazingatie nguo zao (to cover up) nje ya mahoteli kuheshimu local dress code. Maana wanawake uko nguo zao ni za stara. Lakini wazanzibari hawana shida kuona wazungu wakitembea nusu uchi Michenzani mall.

Binafsi ningeelewa ilo katazo kama Kuna matokeo kadhaa ya masai kudhuru watu hapo kuna hoja. Ila kuchukizwa tu kisa wewe upendi ilo katazo lina kosa justification.
 
Polisi wametoa sababu gani?
Angalau wewe umeuliza wenzako wengi humu wanakurupuka tu bila hata kutaka kujua ni kwa nini wamezuiwa kutembea na hivo vitu sababu ya yote hayo ni kuwashambulia maafisa wa mji mkongwe kwa kutumia hizo rungu zao
 
Msikilize huyo mpumbavu alielegea mwili na mdomo
Lakini akija Muomani kavaa Dagger lake mtasema ni Suna ya Mtume
senior-omani-man-wearing-the-traditional-khanjar-in-the-town-ibra-oman-2F8TCAF.jpg
portait-omani-man-nizwa-oman-may-traditional-outfit-wearing-khanjar-traditional-dagger-belt-73...jpg
Waacheni Ndugu zetu Wamasai watembee vifua mbele kwenye Ardhi yao.
amboseli-kenya-aug-20-2008-260nw-419327809 (1).jpg
360_F_520923114_eZNpxzMbByAneAUVp2Pu02MCtxWhN6B6.jpg
 
Masai ni jadi yake kutembea na fimbo miaka yote. Hakuna siku tumewahi kuiona fimbo ya Masai kama silaha. Kinachoendelea Zanzibar ni mwendelezo wakupambana na kabila hili kutokana na ukweli kwamba wamejaa Zanzibar na wanaongea vibaya kuhusu ngorongoro.

Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada ya Ngorongoro na matamshi yao ni wazi siyo mazuri. Pamoja na matamshi mabaya dhidi ya wenzetu, haikuwa na tija kuwapelekea askari wawapige. Wamepigwa na wao ni binadamu wakapiga. Leo limetolewa tamko hakuna ruhusa Masai kuingia zenji na fimbo wala sime......je sheria gani imetamkwa haya?

Lakini wazungu wanatembea uchi Zanzibar na hakuna askari anayewagusa....wanatembea na dogs hakuna makatazo. Wanafanya mengi mabaya lakini tupo kimya....Masai kuonekana kero ngorongoro na sasa kero Zanzibar . Tulitegemea afuge mifugo na kuishi maisha duni tumtawale ? Ameamua kujitawala.

Natambua mahakama Zanzibar itawafunga miaka mingi tena ndani ya muda mfupi ujao.....lakini one day watakuwa huru
Ukimvua kiremba (turban) Karasinga anabakia kuwa Mhindi tu, vivyo hivyo ukimnyang'anya fimbo Mmasai anabakia Mgogo au Msukuma.

Wamasai waendelee kutembea na fimbo na visu vyao. Mbona hapa Dar es Salaam Masai hawajawahi kupiga mtu bila sababu.
 
Zanzibzr ni wabaguzi, hapo inatafutwa namna ya kuwaondoa huko, kama mtu anatembea na fimbo na hajadguru mtu , na hata akiitumia kudhuru , sheria ipo atashitakiwa, kila mwanadamu ana utamaduni wake , ni utamaduni wa wamasai kutembea na fimbo. Uhuru wa mtu uheshimiwe . Wale mashehe wanatembea nafimbo hao vipi, au ni kwa watanganyika tu?
.
 

Attachments

  • VID-20240127-WA0048.mp4
    6.1 MB
Back
Top Bottom