Huenda akamrithi Sirro.ni mwendo wa kutafuta kiki tuKwa namna nchi hii inavyoendeshwa sitashangaa huyo askari akipandishwa cheo kwa "kazi nzuri". Hivi yule aliyesema anatamani kuwa IGP, anatamani mamlaka gani hasa ya IGP(polisi)? Ni kama haya ya kutumia silaha za moto hovyo hovyo kwa wananchi wasio na silaha?
Hili la Malima pia ni fundisho jingine kwa viongozi wetu hasa wa CCM. Tunapopigania mifumo ya haki na uwajibikaji wajue kuwa haitawafaa wanaoitwa wapinzani tu bali hata wao wenyewe.
Mara nyingine kimoyomoyo wengine tunasema "wacha na wao waisome namba"!
Kila siku mnaleta matangazo ya kuulizia nafasi za jkt humu.Bora niwe Jobless kuliko kulala nje namlinda Mwenzangu yupo ndani anapiga wazungu
Huyu askari ametumia busara sana kupiga risasi juu kuwatawanya hao watu na hana kosa kupiga risasi juu angekuwa amemrenga au amemnyoshea mtu hapo ingekuwa makosa lakini inaonyesha nia yake ni kuwatawanya ndio maana ameonyesha bunduki juu hakuwa na nia ya kudhuru mtu acheni siasa!!Sababu hakuna kwa mujibu ya hiyo clip ila nimesema yupo sahihi kama lengo lilikuwa ni kutishia tu wananchi waweze kutoa kiwingu ila maneno aliyokuwa anayatoa plus kumgusagusa Malima imeua dhana nzima ya kupiga risasi hewani (kimsingi nilikuwa ninarespond comment ya mdau ambae alikuwa anaona kitendo kile ni sahihi)
Busara mhhh! Labda weredi wa kazi, kwani wengi wa hawa askari ni vijana, nilichokiona kwenye hiyo video ni jazba na hamaki hapo lazima busara iondokeHapa busara na hekima ilitakiwa itumike
Shida sio jela, shida ni dharau za kazi....Na jela ungeendaa
Hata mimi ningekosea zaidi... ningepeleka kwa huyo jamaa.. naenda jela.. somo litaeleweka keshoUnaelewa Principles Na Maadili Ya Matumizi Ya Silaha? Hata Kama Malima Alidharau, Yule Polisi Kakosea, Hakukuwa Na Ulazima Wa Kufyatua Risasi, Vp Madhara Kwa Wananchi?
Hajui risasi huyo...Risasi nne tu ndo mnasema kama njugu? Angepiga risasi kumi je si mngesema kama mchanga.
ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong
Unamanisha nini unaposema utemi???Kwa Matumizi Haya Ya Hovyo Hovyo Ya Silaha
Ni Hatari Sana Kwa Askari Lakini Pia Wananchi Tujitahidi Kujua Nguvu Ya Umma Ni Kubwa Kuliko Silaha.
Utemi Haufai Popote Pale!!!!
polisi wa kuchukua mitaani,ndio matatizo saiv.watolewe woteulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong
Kwa hiyo wakidharauliwa ndo wanaruhusiwa kufyatua risasi kwenye public? Ndio walivyojifunza na kuhitimu? Kama unaona ni sawa atakuwa una matope kichwani mwako badala ya ubongo.Gari lilikuwa parked sehemu isiyostahili na mutoto wa bosi amebaki untouchable ndio kuja polisi nao wanadharauliwa