Hao Majembe, Yono and the like ni wasumbufu sana, wanasumbua sana wananchi, wanadai dau kubwa kama Mtu hana gari inapelekwa wanakojua mwananchi akisharekebisha Tra anapofata Gari Yake hapewi badala Yake anaambiwa alipe pesa chungu nzima eti kwaajili ya ulinzi, nakwambia iwe ni Kwa Masaa au Siku moja au mbili nakwambia atadaiwa hela nyingi kuzidi ule Mshahara anao lipwa mlinzi aliyeajiriwa kwenye kampuni ya ulinzi Kama vile ktk, night support, etc! Kwa hili la leo wamegusa pabaya huenda inaweza ku draw attention kubwa itakayopelekea wananchi kuondokana na kadhia ya hao jamaa! Komaa nao kaka Adam watie akili!