kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,117
Kwanza nini maana ya dharau? Nyie wavuta bangi mlipata kazi Jeshini kwa vyeti feki dawa yenu inakuja. Kule CCP mlikuwa mnajifunza nini?
Police ni sahemu ya dola,fahamu hiloKila Police ni serikali?mmh only in tz
Endelea kudhani ila sisi tunaona kwenye video polisi wana matatizo.Nadhani Kigoma ana matatizo. Na ndiyo maana aliibiwa hela Moro na changu.
Nenda YouTube walimrundika!Viongozi wengi wanayatumia madaraka yao Kama tiketi yakuwa juu ya sheria.
Kweli huwa wanakurupuka na kutunisha vifua kisa magwanda waliyovaa.Hakuna hawa askari hua wanakurupuka sana wakishakua tu na hivo vibunduki wanajua watu watawaogopa.
mtoto wa waziri amepaki sehemu isiyoruhusiwa.. majembe auction (mwenye towing authority) amemuomba atoe gari mtoto wa Malima kakataa.. Majembe kaita polisi... mzee malima nae kaja.. polisi wanaamuru gari litolewe malima anamu ignore polisi.. polisi mmoja kapanda jazba "kwanini hamueshimu serikali?" na kupiga risasi juu... Thats all i know mkuuPolisi alikuwa anatafuta nini pale? Na baada ya kujua kwamba eneo ni salama walifanya nini? Nataka kujua chanzo cha hili " zogo" ni nini?
Acha uongo wewe! Ina maana umesahau enzi za "wapigwe tu maana hakuna namna, maana maana tumechoka sasa!" (per peter)Hivi kuheshimu Serikali au kuigopa Serikali?? Kwanini mwenzake alimwambia aache?Alijua wanamakosa.Ifike mahali pande zote mbili ziheshiamiane.Polisi lazima waheshimu RAIA na RAIA waheshimu polisi bila polisi kuheshimu RAIA hakuna kujeshimiana.Angeua RAIA wange sema polisi kaua Jambazi Sugu.
Mbona enzi za JKN huu upumbavu ilikuwa hakuna.Ushenzi huu upo awamu hii tu kisa polisi aogopewe.
ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong
Matumizi yake ni kuwinda njiwa??hivi mnapoona wamezibeba huwa mnadhani ni kwaajili ya wanyama?....safi sana askari wetu unajua matumizi sahihi ya silaha
I hate police, i feel the same way... ila siwapendi viongozi na ma ex-viongozi na familia zao kwa kujidhani wako above the lawKweli huwa wanakurupuka na kutunisha vifua kisa magwanda waliyovaa.
Ukikutana nao wengi wao hawana kauli za kistaarabu zaidi huwa wanadhania kila mtu ni kibaka!!
Sioni kutishiwa kokote hapo au clip nyingine??
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Adam Kighoma Malima akuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.
Malima na mwanae wana makosa.sheria na utaratibu lazima ufuatwe.lakini pia sikuona sababu ya askari kupiga risasimtoto wa waziri amepaki sehemu isiyoruhusiwa.. majembe auction (mwenye towing authority) amemuomba atoe gari mtoto wa Malima kakataa.. Majembe kaita polisi... mzee malima nae kaja.. polisi wanaamuru gari litolewe malima anamu ignore polisi.. polisi mmoja kapanda jazba "kwanini hamueshimu serikali?" na kupiga risasi juu... Thats all i know mkuu