Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Kwanza nini maana ya dharau? Nyie wavuta bangi mlipata kazi Jeshini kwa vyeti feki dawa yenu inakuja. Kule CCP mlikuwa mnajifunza nini?

Aaah mkuu bangi inaingiaje hapo? Kuwa na heshima. Sio unaingiza na vitu ambavyo havipo.
 
wanaume wa dar, polisi akiwasogea tu wote wanakimbia ha ha ha ha ha........khaaaa.....
 
Huyu Askari ni wa kufukuza kazi mara moja,period
He is reckless and so unprofessional
 
Naona anatafuta cheo. Mi sijui nitumie mbinu gani Magu anisikie nipate hats ukatibu tarafa.
 
Hivi vi askari vimetoka mafunzoni juzi basi vinadhani vinaweza kumbabaisha kila mtu. Hivi ndivyo vya kupeleka kule Kibiti vikafundishwe kazi...
 
Hakuna hawa askari hua wanakurupuka sana wakishakua tu na hivo vibunduki wanajua watu watawaogopa.
Kweli huwa wanakurupuka na kutunisha vifua kisa magwanda waliyovaa.
Ukikutana nao wengi wao hawana kauli za kistaarabu zaidi huwa wanadhania kila mtu ni kibaka!!
 
Polisi alikuwa anatafuta nini pale? Na baada ya kujua kwamba eneo ni salama walifanya nini? Nataka kujua chanzo cha hili " zogo" ni nini?
mtoto wa waziri amepaki sehemu isiyoruhusiwa.. majembe auction (mwenye towing authority) amemuomba atoe gari mtoto wa Malima kakataa.. Majembe kaita polisi... mzee malima nae kaja.. polisi wanaamuru gari litolewe malima anamu ignore polisi.. polisi mmoja kapanda jazba "kwanini hamueshimu serikali?" na kupiga risasi juu... Thats all i know mkuu
 
Kiufupi inabidi hao Yono na Majembe wanaudhi sana inabidi tuanze watia adabu kwanzay
 
Acha uongo wewe! Ina maana umesahau enzi za "wapigwe tu maana hakuna namna, maana maana tumechoka sasa!" (per peter)
 

Na akamweleza kabisa yeye ameapa kuilinda jamhuri...Watu wasipoelewa na kuwa heshimu watu wenye dhamana huku wakitaka wao kuheshimiwa, then I am speechless...Kuna mazoea yalijengwa na kuna watu walishajiweka kwenye class fulani, sasa wanapotakiwa kurudi katika position zao wanashindwa...
 
Kweli huwa wanakurupuka na kutunisha vifua kisa magwanda waliyovaa.
Ukikutana nao wengi wao hawana kauli za kistaarabu zaidi huwa wanadhania kila mtu ni kibaka!!
I hate police, i feel the same way... ila siwapendi viongozi na ma ex-viongozi na familia zao kwa kujidhani wako above the law
 
Mie
Nimeshangazwa na huyo afande mbona povu limemtoka ivyo!!!
 
Sioni kutishiwa kokote hapo au clip nyingine??
 
Malima na mwanae wana makosa.sheria na utaratibu lazima ufuatwe.lakini pia sikuona sababu ya askari kupiga risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…