Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Tatizo polisi wetu wanapenda kuabudiwa sana....

Yaani polisi anapenda ukimuona ujione kama Mbwa mbele ya Chatu....

Polisi wetu nilishaacha kuwaamini, kama ninatatizo nitaripoti kwa mjibu wa sheria kwa kumbukumbu za baadae mahamani..!
Yes ni kweli ila kwa hili Mheshimiwa alitakiwa kutii mamlaka na kuondoa gari
Labda tunapenda scenes na kugeuza kuwa politics za siku na kupata popularity
 




Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Adam Kighoma Malima akuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.

Wao kwa wao
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Waache wafu wazikane,Malima ccm Vs Policcm....
 
Msishangae sana kesho mkasikia amepandishwa cheo. Tena akija kuua kabisa ndipo atapandishwa cheo zaidi. Ni Africa pekee ambapo polisi wanaweza kuua mtu kwa kupaki gari vibaya.
 
Lazima kuwe na mkuu wa msafara,unadhani hao polisi wanatembea kama kuku? Kwanza uyo Malima kamheshimu sana. Mimi ningemnasa makofi.
walikuwa wa2 bila mkuu wa msafara kwa maana mmoja wao anakuwa major wa kikosi mwingine msaidizi.. ni little field work... Ok lets make a movie mimi polisi wewe malima... jokin
 
Kasema ni Adamu kigoma ali malima mbona hata picha inamuontesha au mkuu unakaidi ukweri?


Nyie watu sijuibwa aina gani. Swali niliuliza hakukuwa na pocha na mtoa mada hakusema ni mtoto wa Malima.

Baada ya kumuuliza akarekebisha. Sasa mnakomaa tuu
 
Ni kama matukio ya kipagwa? La sivyo huyo polisi alipe risasi zote alizopoteza bure! Kama alikuwa na 7bu c angemshut tu hata ya mguuni shit! Polisi nao nimabashite wanavamia vamia tu... Hivi kuvamia nayo ni kaz?{in wamitego voice }
 




Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Adam Kighoma Malima akuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.
Wa-Tanzania kwa kuogopa Milio ya Risasi, huku ughaibuni mimi nilikuwa ninaogopa milio ya Risasi mpaka sasa nimekwisha zoea kukitokea mtoto wa mtaani anakwenda jeshini kwenye mafunzo ya jeshi milio ya risasi inalia ovyo ovyo usiku au mchana. Kukitokea sherehe ya harusi milio ya risasi inailia hakuna kuogopa nilikuwa ninaogopa mpaka sasa nimekwisha kuzoe kila nyumba 10 basi nyumba 7 zitakuwa na watu wana Silaha ya Pistol au bunduki ni kitu cha kawaida acheni uoga Wa-Danganyika. Askari kupiga Risasi juu ni kitu cha kawaida.
 
Hakuna point hapa Naona upuuzi tu

Police hajafuzwa Ujinga kama alio ufanya huyu police
Sijaona sababu za msingi za kutumia

Silaha pale hasa nikutisha watu Na kuleta taharuki

Niujinga mkubwa mno
 
ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong

Yeye aliapa kulinda serikali ama wananchi na mali zao? After all askari huyo hakuwa provoked kama mwanzisha uzi anavyotaka tuamini, yeye alipoombwa kitambulisho, akajua ameombwa cheti!!!!
 
Mtu yeyote aliyekabidhiwa silaha ya moto, awe raia au polisi, inabidi awe na uwezo mkubwa wa kudhibiti hasira. Tukumbuke ya Ditopile na wengine kuhusu matunimizi maba ya silaha ya moto.

Vv
 
Kua kiongozi sio tija ni vizuri wakati sheria zilizo wekwa ukikosea kua na lugha nzuri.. Sio unaaanza unajua mi nani??? Wadhifa wako ni ofisini kwako watu wanachoaangalia umefanya kosa wakuadhibu..


Sawa ni kweli, lakini humtishii bunduki raia kwa kukosea kusema. Ilitakiwa Malima kama kakosea na kutofuata amri halali ya polisi basi pamoja na kosa hilo na hili lifunguliwe pamoja (kuidharau polisi) na mahakama ingeamua adhabu yake ni nini.

Bunduki ina mahali pake (jambazi, kujihami na kulinda usalama wa raia unao taka hatalishwa nk).
 
Huyo jamaa ndo wale wale bendera fuata upepo, hajui polisi ni serikali? Mtu ana nembo ya taifa mabegani bado hajui tu?
He claims to have knowledge of what he knows nothing! Any way, Msafara wa mamba....
 
sawa ila usihukumu upande mmoja... hakuna calculations za hasira/jazba iwe kazini ama kwa mkeo. Besides risk za ujinga kama wa unayemtetea ni kwamba polisi angeweza kuwa mjinga zaidi akampa za bandama akaenda jela tungepoteza nguvu kazi.... Pande zote 2 zimekosea...to my little understanding
Sawa kama walikosea,kwanini wasifuate taratibu halali za kuwakamata?
lazima utenganishe kati ya kazi na ishu binafsi hivyo basi ukifuata taratibu huwezi kupandwa na jazba kiasi kile.
Jeshi linataratibu zake,ni zile?

Kwanini kama alikuwa sahihi mwenzake amtulize?
Aliona nini?
Aliyepiga risasi aliangalia wapi anapiga au alikuwa tu anapiga juu?
Hivi kila sehemu hapa nchini,juu ndiyo sehemu salama zaidi?
 
Yeye aliapa kulinda serikali ama wananchi na mali zao? After all askari huyo hakuwa provoked kama mwanzisha uzi anavyotaka tuamini, yeye alipoombwa kitambulisho, akajua ameombwa cheti!!!!
mkuu sikusikia akiombwa kitambulisho ahahahahahaha ... nice one thou
 
Back
Top Bottom