Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Yes ni kweli ila kwa hili Mheshimiwa alitakiwa kutii mamlaka na kuondoa gariTatizo polisi wetu wanapenda kuabudiwa sana....
Yaani polisi anapenda ukimuona ujione kama Mbwa mbele ya Chatu....
Polisi wetu nilishaacha kuwaamini, kama ninatatizo nitaripoti kwa mjibu wa sheria kwa kumbukumbu za baadae mahamani..!
Wao kwa wao
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Adam Kighoma Malima akuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.
utemi ni kuamini kwamba bunduki itawanyamazisha watu na kuwaogopeshaUnamanisha nini unaposema utemi???
Waache wafu wazikane,Malima ccm Vs Policcm....Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)
Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....
Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?
Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....
Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....
Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....
Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Kighoma Malima kwani yuko hai?
walikuwa wa2 bila mkuu wa msafara kwa maana mmoja wao anakuwa major wa kikosi mwingine msaidizi.. ni little field work... Ok lets make a movie mimi polisi wewe malima... jokinLazima kuwe na mkuu wa msafara,unadhani hao polisi wanatembea kama kuku? Kwanza uyo Malima kamheshimu sana. Mimi ningemnasa makofi.
ndo raha yenyewe ngoja wauane mimi natamani angepigwa risasi wa kwao moja ili akili iwaingie vzr mana watu wa kijani hawanaga akili wanafikir kwa tumboWao kwa wao
Kasema ni Adamu kigoma ali malima mbona hata picha inamuontesha au mkuu unakaidi ukweri?
Wa-Tanzania kwa kuogopa Milio ya Risasi, huku ughaibuni mimi nilikuwa ninaogopa milio ya Risasi mpaka sasa nimekwisha zoea kukitokea mtoto wa mtaani anakwenda jeshini kwenye mafunzo ya jeshi milio ya risasi inalia ovyo ovyo usiku au mchana. Kukitokea sherehe ya harusi milio ya risasi inailia hakuna kuogopa nilikuwa ninaogopa mpaka sasa nimekwisha kuzoe kila nyumba 10 basi nyumba 7 zitakuwa na watu wana Silaha ya Pistol au bunduki ni kitu cha kawaida acheni uoga Wa-Danganyika. Askari kupiga Risasi juu ni kitu cha kawaida.
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Adam Kighoma Malima akuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.
ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong
Kua kiongozi sio tija ni vizuri wakati sheria zilizo wekwa ukikosea kua na lugha nzuri.. Sio unaaanza unajua mi nani??? Wadhifa wako ni ofisini kwako watu wanachoaangalia umefanya kosa wakuadhibu..
He claims to have knowledge of what he knows nothing! Any way, Msafara wa mamba....Huyo jamaa ndo wale wale bendera fuata upepo, hajui polisi ni serikali? Mtu ana nembo ya taifa mabegani bado hajui tu?
Sawa kama walikosea,kwanini wasifuate taratibu halali za kuwakamata?sawa ila usihukumu upande mmoja... hakuna calculations za hasira/jazba iwe kazini ama kwa mkeo. Besides risk za ujinga kama wa unayemtetea ni kwamba polisi angeweza kuwa mjinga zaidi akampa za bandama akaenda jela tungepoteza nguvu kazi.... Pande zote 2 zimekosea...to my little understanding
mkuu sikusikia akiombwa kitambulisho ahahahahahaha ... nice one thouYeye aliapa kulinda serikali ama wananchi na mali zao? After all askari huyo hakuwa provoked kama mwanzisha uzi anavyotaka tuamini, yeye alipoombwa kitambulisho, akajua ameombwa cheti!!!!