Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Hivi bangi imeruhusiwa kwa hawa "walinda usalama"? Sidhani kama haya ni matumizi mazuri ya silaha. Eti ana mkanda wa bendera.... So what? Nawalaumu wale jamaa ambao hawakuhakiki vyeti vya hawa vijana......!!!!! Si bure!!!! Eti ameapa.... Kama umeapa nenda Kibiti ukafanye doria!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....
Kibiti hapawezi. Muache afyatue angani tuu....
 
Hujafundishwa raia kuheshimu askari?

Kazi ya kwanza ni Jeshi kuheshimu Raia ,ukiheshimu RAIA automatically utaheshimika tu.

Kupokea rushwa ni kosa la jinai.Tigo muda msingi ni.kuharass RAIA ili kujipatia pesa aka rushwa.

Unless uniambie wewe pia ni wale Tigo.
 
Ingekuwa burundi hawa polisi wangevuliwa hadi magwanda, walishapiga blast wakamaliza risasi, hapo wananzengo wangekomaa kidogo tu wangewanyanganya silaha na kuwavua magwanda.

Kwa upigaji ule wa risasi hata kuruta wa jkt hawezi piga risasi hovyo hivyo, sasa nakubaliana na kangi lugola kuwa askari siku hizi hawana mafunzo.
 
Naunga mkono kitendo cha self defence cha yule askari...Malima ni mmiliki wa bunduki ya kivita (SMG), angeweza kumzidi ujanja.
Napenda hizi kauli.... Huwa zinarudi
 
Wewe utakuwa unawakilisha maoni ya kwenye uelewa mdogo.kwa hiyo dharau kiboko yake ni risasi
Mkuu Hawa ni wale wa matawi ya juu hawaelewi adha tukutanayo na hawa Tigo.Ni wajinga kweli hawa Tigo.
 
Malima amechanganyikiwa kukosa ubunge.
Askari akikupa amri lazima utii tu hata kama una haki zote.
Ingekuwa mie ni yule askari nisingepiga juu kuharibu kuharibu mazingira tu,ningempa Malima risasi kama tano za kwenye vidole vya miguu akajifunze utii bila ya shuruti
Sad
 



Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.

Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.

Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae Kighoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.

Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndio wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.

Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.

Adam Kighoma Malima alikuwa mbunge wa jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, enzi za Kikwete. Anatokea katika chama cha CCM.

Unasema risasi zalindima kama njugu mbona video inaonyesha kufyatuliwa kwa risasi moja tu.
 
Usiwe narrow minded nimekupa mfano, kimsingi unapoonesha dharau tegemea feedback mbaya kutoka kwa yule uliyemdharau.

Yule jamaa anataka kuonesha jeuri ya pesa, kuna mambo kama mtu mwenye akili timamu unapaswa kutambua, heshimu askari maana wao ndio walinzi tuliowapa dhamana ya kutulinda, hata rais na viongozi wengine tunalazimika kuwaheshimu maana wana dhamana, umaarufu na utajiri wetu sio jambo la msingi sana linapokuja suala la ulinzi na usalama, ndio maana tunahitaji kuilinda amani tuliyonayo kwa nguvu zote maana hiyo amani ikipotea hata pesa zako hazina thamani tena, utatumia wapi?
Tuheshimu serikali, tuheshimu askari suala la mapungufu kila mtu analo hata wewe lazima una mapungufu yako.

Cha kujua ni kwamba askari hapendwi kirahisi kama wengi wenu mnavyodhani
Uzi mzima watu wanakushangaa
Kaka umewahi nenda walau jkt?
Au tuseme unachochibu ndo tunachofundishwa kambini?
Kaka tunasheria zetu hatutoagi risasi kirahisi kama unavoshadidia kaka.Unaonekana hujui sheria na sifa za polisi bora ukae kimya tu kaka.Wapo watu hum zaidi ya uyo alifyatua risasi ovyo wanajua ni kosa sasa bora ukae kimya tu.
 
Dharau ya pesa ndio iliyomfikisha Manji katika ule usumbufu.
Polisi wanaweza kua wanadharaulika lakini kwa siri siri sio kama walimu wanaodharaulika wazi wazi.
Wote walimu na askari ni watu ambao wana stress za umasikini ilo linafahamika ila inapotokea mtu anashindwa kuzificha stress zake kwa kufanya ujinga hadharani alafu wanatokea mapunguani wa kumtetea hapo ndo inashangaza zaidi
 
Siku mojawapo ya sifa ya kuwa askari polisi ikawa kuwa na angalau na cheti cha sheria, nchi itatulia.
 
Sion kama kulikuwa na haja ya kupiga risasi,ila ni dhahiri alionekana amepanic kitu ambacho si kizur kwa Askari hasa ukizingatia alikuwa na silaha hivyo angeweza kuleta madhara makubwa,ni muhimu Askari kuonesha ustaarabu wa kutotumia chombo cha moto kwa Raia hasa wasiokuwa na Silaha au wasiokuwa wakaidi,kwa video hii ni dhahiri Askari Polis alihatarisha usalama wa Raia
 
kama vyeti feki viki fika polisi kwa huu mkanda na zani tuta hesabu polisi sasa nchi nzima
 
Askari umjibu kama mke mwenza alafu atulie tu?

Naona hukuwahi kupitia hata jkt wewe.

Ingewezekana watu wote wangepitia jkt wajue namna ya kudeal na askari.
Mambo ya kiraia na uaskari ni tofauti mno kuliko mnavyopiga kelele hapa JF.
Kwahiyo humu ww tu ndo unajiona umepitia jkt?
Jkt funzo la kwanza usikubali kukamatwa na polisi yeyote bila kukuonyesha kitambulisho chake.
 
Kila mtu humlaumu askari wakati wa amani.
Kukichafuka ndio askari anaonekana muhimu na kuheshimika, kimsingi askari hapendeki kwa sababu anazuia mambo mengi yanayogusa maisha ya watu ya kila siku
Alaaah kumbe ww wamtete kwa mahaba kuwa hawapendwi?
Bahat yako ni ethic kujitambulisha wew
 
Back
Top Bottom