Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema mwanae Kighoma Malima ambaye ndio huyo ex Waziri, husomi ukaelewa unakimbilia wapi?Nafikiri ni Adam malima atakuwa amechanganya majina kati ya la baba na mwana
Lala asbh ukalime mihogo hilo ndo unaweza..Mie ni Mkazi wa Jaribu Mpakani huku Mkuranga, unaweza kurudia kuandika comment yako?
Aniokoe yeye Mungu? Acheni kutukuza upuuzi, kwa miiko ya polisi hapo kesho anatakiwa site kupiga kazi ngumu. Madaktari nao wasemeje ambao unafika kwao hata hujatambui
Hata plate no za magari na pikipiki zina bendera.
Kikubwa ninachokiona ni kwamba askari wetu huwa hawapendi kusikiliza. Wanachopenda wao ni amri tu basi. Mimi sikuona cha kumfanya afyatue risasi hewani.
Alichokua anajaribu kufanya ni kumtishia yule jamaa ili asiongee.
Naipenda nchi yangu nawapenda askari. Ila wajifunze namna ya kuwa na busara. Sio kila raia ni mharifu. Ndio maana wanapewa mafunzo ya kumjua mharifu kwa kumtazama tu.
Alafu wapunguze ubabe na wafuate sheria
Jamaa alimaliza risasi tano kwenye 'magazine' akaona aibu kuchukua nyingine mfukoni.. akaanza kusukumana na vitisho..wanahasira zisizosaidia
kama ningekuwa mtoa maamuzi yule asikari leo angelala rumande
Jamaa alimaliza risasi tano kwenye 'magazine' akaona aibu kuchukua nyingine mfukoni.. akaanza kusukumana na vitisho..
Watu Wengi humu JF, wanawalaumu polisi ila ukiwa pale Benki unaambiwa egesha au ondoa gari eneo hili au lile mbona huwa hamji humu kusema polisi wabaya!?
Mbona tukiwa tunachukua hela kiasi kikubwa tunawalilia polisi watufanyie escort ili pesa zetu ziwe salama!?
Majambazi, wakikuvamia mbona kilio cha kwanza huwa ni kutoa taarifa polisi na kuomba msaada wao!?
Hebu jiulize, kama gari lilokuwa limeegeshwa kisha aliyeegesha akatenda uhalifu!?
Sasa hivi, ingekuwa tofauti kabisa humu JF , kuwa polisi inawaachia watu wanapaki ovyo na kusababisisha waharifu kutekeleza azima zao.
Angalia, lugha iliyotumiwa na hao waliopaki gari , kweli mtu mwenye sitaha na kujiheshimu na kuheshimu watu wengine anaweza kujibu vile!? Mbaya zaidi eti amekuwa hadi naibu waziri!?
Jiulize, ni mara ngapi watu wanapaki mahala siyo sahihi ila wanatumia lugha ya staha ao hao watendaji wanawaacha na kuondoa magari kwa ustarabu!?
Vyeo, nafasi fedha isiwe chanzo baadhi kuwadharau na kuona kazi za wengine hazifai.
Kutii, sheria na amri ndiyo suruhisho tu kwa mambo kama haya ili yasijitokeze.