Inaonesha kijana uwezo wako wa kufikiri bado ni mdogo! Kuna msemo unasema; TII SHERIA BILA SHURUTI. Malima angetii amri na kumwambia dereva wake aondoa gari pale alipo park unadhani haya yaliyotokea yangejitokea? Mbona tunakuwa wepesi wa kulaumu tena upande mmoja?
Pindi walivyouawa wale askari wa 8 kuna wajinga baahdi humuhumu kwenye mitandao walikuwa wanafurahia, Ila waungwana wakawa wanawauliza; wangekuwa ndugu zenu Ungefurahia!?..
Enzi ya kubembelezana ya Mzee bure ilishaisha. Vijana mjitambue, sio kuishia kulaumu tu, mnapoteza muda wa fikra chanya. Sisemi kwamba askari polisi eti wapo perfect kwa 100%, 100% hapana. Ila kwa hili mh. Malina kachemka.
Sent from my TECNO-L5 using
JamiiForums mobile app