Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Karibu naanza kuchoka kuchangia humu, maana unaweza ukajikuta kia waati unachangia jambo lilelile.Watanzania wengi wasichoelewa ni kwamba hii trend ya dola kushuka thamani ni ya muda mfupi tu, muda si mrefu dola itarudi kupanda bei.
Kwa sababu bei ya dola inaenda na fundamentals za uchumi wa nchi za import / export na Tanzania haijaongeza exports za ku sustain shilingi kupanda bei kwa muda mrefu.
Kwenye soko la muda mfupi mpaka wa kati serikali inaweza kushusha bei ya dola hata kwa ku flood dola za mkopo kwenye soko, ila haiwezi ku sustain hiyo hali kwa zaidi ya miezi sita au mwaka.
Wenzako huku tz kinachoendelea stori za kumshukuru mama kwa kwenda mbele...Watanzania wengi wasichoelewa ni kwamba hii trend ya dola kushuka thamani ni ya muda mfupi tu, muda si mrefu dola itarudi kupanda bei.
Kwa sababu bei ya dola inaenda na fundamentals za uchumi wa nchi za import / export na Tanzania haijaongeza exports za ku sustain shilingi kupanda bei kwa muda mrefu.
Kwenye soko la muda mfupi mpaka wa kati serikali inaweza kushusha bei ya dola hata kwa ku flood dola za mkopo kwenye soko, ila haiwezi ku sustain hiyo hali kwa zaidi ya miezi sita au mwaka.
Bongo hata jua likipatwa watu watamshukuru Mama tu.Wenzako huku tz kinachoendelea stori za kumshukuru mama kwa kwenda mbele...
Mie nakaaa kipembeni nikichekaView attachment 3175871
Usichoke mkuu.Karibu naanza kuchoka kuchangia humu, maana unaweza ukajikuta kia waati unachangia jambo lilelile.
Ni kweli hii trend haina maana yoyote kwa sarafu na uchumi wa Tanzania, na isitoshe limekuwa ikitokea mara kwa mara ikitegemea na matukio.
Tukio la Uchaguzi wa Marekani pekee linaweza likabadili hali ya hewa duniani. Pamoja na hili kitokea kila wakati, inaonekana watu wana tatizo la kupoteza kumbukumbu, na wanaliona ni tukio jipya kuwahi kutokea duniani.
Ngoja tuone, maana hivi sasa linatumika kupata political gains wakati mambo yanazidi kuwa tete.