Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Wakazi wa Masaki na Oysterbay ambao ni wapangaji kwenye nyumba za mabwanyeye wamejikuta wakishangilia na kuamshana kwenye makundi yao ya WatsApp baada ya ddola kuporomoka dhidi ya shilingi.
Nyumba za Oyesterbay na Masaki nyingi zilikuwa ni za umma/serikali watu wakauziwa bei ya soda, wao wakamua kuzikarabati na kodi ya mwezi ni zaidi ya bei waliyouziwa.
Kodi ya Masaki na Oysrerbay inalipwa kwa dola japo Serikali ilishapiga marufuku.
USHAURI: Kwa mpangaji wa Masaki na Oysterbay, kama mkataba wako unakaribia kuisha, ongeza hata miaka mitano na lipa yote kwa dola, alafu tulia.
Nyumba za Oyesterbay na Masaki nyingi zilikuwa ni za umma/serikali watu wakauziwa bei ya soda, wao wakamua kuzikarabati na kodi ya mwezi ni zaidi ya bei waliyouziwa.
Kodi ya Masaki na Oysrerbay inalipwa kwa dola japo Serikali ilishapiga marufuku.
USHAURI: Kwa mpangaji wa Masaki na Oysterbay, kama mkataba wako unakaribia kuisha, ongeza hata miaka mitano na lipa yote kwa dola, alafu tulia.