Masalia ya vita kuu ya dunia ni haya ya Urusi na Ukraine

Masalia ya vita kuu ya dunia ni haya ya Urusi na Ukraine

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Operation ya Urusi huko Ukraine ni matokeo ya mabaki ya vita vya dunia na sera ya upanuzi wa Irusi ili aweze kufikia pande zote za dunia bila kikwazo.

Kitendo cha Ujerumani kuadhibiwa vibaya kipindi kile ndio kilichopelekea rise of dictatorship in Germany hence WW, na sasa ninaiona hii kwa Urusi. SMO Imefanywa kama test ground ya silaha zao mpya. Mistrust iliyopo katika dunia ndio inaleta mtafaruku.

Kuhusu sera ya utanuzi hapa Urusi inafanya hivyo kwa makusudi angalia Kuril islands karibu na Kapani ni kwaajili ya kulinda eneo lake mashariki ya mbali ikiwemo Vladivostok na njia rahisi kwa meli zake kupita bila shida.

Vivyo hivyo sea of Azov, Baltic sea, Caspian sea etc China nae anafanya hivyo South China sea kimkakati.

Hata vita vya Ukraine vikiisha leo bado vitaibuka tu, kuna watu hawataridhika.

Hayo tu kwa kifupi.
 
Kapicha kidogo basi, mkuu.

NB: NWO ndiyo problem namba moja. Hao wanasiasa wote wanaelekea kutekeleza mfumo huo, ingawa wanaweza kuonekana kwa nje wakipingana na hata kushambuliana.
 
Kapicha kidogo basi, mkuu.

NB: NWO ndiyo problem namba moja. Hao wanasiasa wote wanaelekea kutekeleza mfumo huo, ingawa wanaweza kuonekana kwa nje wakipingana na hata kushambuliana.
Hapo kwenye NWO fafanua kidogo!
 
Operation ya Urusi huko Ukraine ni matokeo ya mabaki ya vita vya dunia na sera ya upanuzi wa Irusi ili aweze kufikia pande zote za dunia bila kikwazo.

Kitendo cha Ujerumani kuadhibiwa vibaya kipindi kile ndio kilichopelekea rise of dictatorship in Germany hence WW, na sasa ninaiona hii kwa Urusi. SMO Imefanywa kama test ground ya silaha zao mpya. Mistrust iliyopo katika dunia ndio inaleta mtafaruku.

Kuhusu sera ya utanuzi hapa Urusi inafanya hivyo kwa makusudi angalia Kuril islands karibu na Kapani ni kwaajili ya kulinda eneo lake mashariki ya mbali ikiwemo Vladivostok na njia rahisi kwa meli zake kupita bila shida.

Vivyo hivyo sea of Azov, Baltic sea, Caspian sea etc China nae anafanya hivyo South China sea kimkakati.

Hata vita vya Ukraine vikiisha leo bado vitaibuka tu, kuna watu hawataridhika.

Hayo tu kwa kifupi.
Andiko lako lisipoigusa marekani na muungano wake wa NATO uzi hautakuwa na maana yoyote

Lazima tukubali ukishakuwa mkubwa huwezi kubali mkubwa mwenzako akuonee Russia anafanya Yale Yale anayoyafanya marekani marekani tamaa ya kujitanua imetamalaki anataka kuigusa kilaa pembe ya dunia, mwenye sauti awe yeye, mamlaka yatoke kwake, kitu ambacho wakubwa wenzie awawezi kulikubali ilo

Vita vikuu vikija kuzukka jua kwamba avitakuwa kkama vile alivyoonewaa german na japana hii kila mmoja ataloose kwa ukubwa wakke
 
Back
Top Bottom