KERO Masama, Kilimanjaro umeme hukatika mara 50 kwa siku

KERO Masama, Kilimanjaro umeme hukatika mara 50 kwa siku

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Masama Kilimanjaro hii sehemu ni balaa wakuu umeme unakatika sio chini ya mara 50 kwa siku

yaani kila baada ya dakika 5 umeme unakatika

nina wiki ya pili kikazi huku aisee sio poa nikiwauliza wenyeji wanadai hii hali wameizoea na wanaumia lakini hawana jinsi

Masama Hai Kilimanjaro ni eneo la hatari sana kwa shughuli za kiuchumi kutokana na katika katika ya umeme

Tanesco Hai nyie ndo tawi la hovyo la Tanesco hapa nchini na duniani sijawahi ona balaa kama hili nililoliona hapa Masama umeme kukatika mara 50 hii ni balaa na nusu na imevunja rekodi
 
Masama Kilimanjaro hii sehemu ni balaa wakuu, umeme unakatika sio chini ya mara 50 kwa siku

Yaani kila baada ya dakika 5 umeme unakatika

Nina wiki ya pili kikazi huku aisee sio poa nikiwauliza wenyeji wanadai hii hali wameizoea na wanaumia lakini hawana jinsi.

Masama Hai Kilimanjaro ni eneo la hatari sana kwa shughuli za kiuchumi kutokana na katika katika ya umeme

Tanesco Hai nyie ndo tawi la ovyo la Tanesco hapa nchini na duniani, sijawahi ona balaa kama hili nililoliona hapa Masama umeme kukatika mara 50 hii ni balaa na nusu na imevunja rekodi.
 
masama Kilimanjaro hii sehemu ni balaa wakuu umeme unakatika sio chini ya mara 50 kwa siku

yaani kila baada ya dakika 5 umeme unakatika

nina wiki ya pili kikazi huku aisee sio poa nikiwauliza wenyeji wanadai hii hali wameizoea na wanaumia lakini hawana jinsi

Masama Hai Kilimanjaro ni eneo la hatari sana kwa shughuli za kiuchumi kutokana na katika katika ya umeme

Tanesco Hai nyie ndo tawi la hovyo la Tanesco hapa nchini na duniani sijawahi ona balaa kama hili nililoliona hapa Masama umeme kukatika mara 50 hii ni balaa na nusu na imevunja rekodi
waambie wahame CHADEMA wahamie CCM,,,umeme utawaka mpka watapigwa short!!
 
Back
Top Bottom