Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50/12Mara 50
Mkuu unafahamu ukitoa Zanzibar, dar es Salam, kilimanjaro ndio iliyofuata kupata umeme?Kweli Tanzania kwa sasa imeendelea hadi watu wa Masama Kilimanjaro sasa hivi wanatumia umeme Aisee
Sii mbunge wa huko haiYule bwege au
Vumilieni[emoji1787]
By then mm nazaliwa nimekuta umeme kijijini..... Rombo kipindi hiko...Mkuu unafahamu ukitoa Zanzibar, dar es Salam, kilimanjaro ndio iliyofuata kupata umeme?
Kilimanjaro kubwa wako waliowahi kuchangamka kimaendeleo na kupata umeme mapema mfano upareni na baadhi ya maeneo uchagani walipata umeme na simu vilifika milimani mapema sana lakini sio Masama aiseeMkuu unafahamu ukitoa Zanzibar, dar es Salam, kilimanjaro ndio iliyofuata kupata umeme?
Masama kwa askofu wangu Emanuel Lazaro
DahHili tatizo lipo maeneo mengi ya Nchi..
Kuwa mvumilivu kijana, tuko kwenye maandalizi ya Kampeni sasa. mkitupa kura Uchaguzi ujao tutamaliza hili tatizo..
mtaletewaMaccm