Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta

Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.

Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
 
20221013_202549.jpg
 
Kama kuna watu watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara Pasta. Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote. Let it go. Waafrika tudanganyana sana, eti ndoa za maishai, Bill Gate kavunja ndoa utakuwa we Masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako? Au ndiyo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go, continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu, umerogwa au? Yaani achepuke hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k, dharau ya namna gani hiyo? Acha uboya piga chini akwende zake.
Sidhani kama ana ubavu huo.Hivi alishawahi kuwa na mpenzi hapo awali kabla ya bi.Monie?Penzi la kwanza huzuzua.
 
Kama kuna watu watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara Pasta. Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote. Let it go. Waafrika tudanganyana sana, eti ndoa za maishai, Bill Gate kavunja ndoa utakuwa we Masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako? Au ndiyo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go, continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu, umerogwa au? Yaani achepuke hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k, dharau ya namna gani hiyo? Acha uboya piga chini akwende zake.
Kwani hakuna mada nyingine zaidi ya huyu dubwana au ndo yeye ameanzisha uzi..

Maana kila siku yeye Tumwchoka
 
Kwani hakuna mada nyingine zaidi ya huyu dubwana au ndo yeye ameanzisha uzi..

Maana kila siku yeye Tumwchoka
Usichoke.Watu kama hawa huja na matukio ili wawe references za wengine kujifunza,kujisahihisha,kukaa mguu sawa au kutoa maoni ya kukomaza zaidi.Endelea kusoma,hutokosa cha kumeng'enya.
 
Aisee nipo nyuma mno! Hili tukio nalipata juu juu tu bado sijapata mmbea wa kunipa full details!
 
Isingekuwa hayo macho ningesema mtoto ni wa Masanja,pia isingekuwa komwe ningesema mtoto ni wa baba mchungaji,vilevile isingekuwa kicheko chao wanafanana ningesema mtoto ni..... lakini hii ndio maana ya Dunia uwanja wa fujo.
 
Na nyie kina dada ndo mnajua kabisa huyu mtoto tumepigwa ama laa maana hata mm dada zangu wife akizaa tu wanakuja home watamuangaliaa mtoto wakimaliza wanakuambia bro lea hii damu yetu...Mpaka hapa nimegia msitari jamaaa kapigwa[emoji1787][emoji1787]
 
Hivi kanisa lake limeshiriki kwa namna yoyote huo msiba wa katibu?

Au muumini ukijitoa uhai na walokole huwa wanasusia msiba?

NB:Angeongoza hiyo ibada ya mazishi na kumpamba Katibu kwa uchapakazi ingekuwa bonge la legacy.
 
Back
Top Bottom