chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Msanii Masanja mkandamizaji ametoa ushuhuda wake juu ya maisha yake kwa watu ambao wanadai hajaokoka
Masanja amedai amepitia msoto mtakatifu na alikuwa anatembeza juisi mtaani kwenye magari na jua kali na juisi hizo alikuwa amekopa
Ila kwa sasa amebarikiwa na mungu na anapita maeneo aliyokuwa anapita na na jua kali akiwa kwenye gari lenye 'full unyunyu' na watu wasikate tamaa
Masanja amedai amepitia msoto mtakatifu na alikuwa anatembeza juisi mtaani kwenye magari na jua kali na juisi hizo alikuwa amekopa
Ila kwa sasa amebarikiwa na mungu na anapita maeneo aliyokuwa anapita na na jua kali akiwa kwenye gari lenye 'full unyunyu' na watu wasikate tamaa