Masanja atua EFM

Nchi hii inawapumbavu wengi Sana kwa kweli.
Ifike Mahala hata kwenye maamzi ya kitaifa kama kupiga kula tugawe makundi ya watu. Maana Haiwezekani kura ya watu kama hao ziwe Sawa na watu wanao jielewa
Naunga mkono
 
Dola itoe maelekezo tu. Kwanini kwenye mambo mengine inatoa maelekezo. Kwanini huku ishindwe? Kuna matatizo mengine tunazalisha kwa makusudi tu.
Mkuu wakubwa Wana maslahi na hawa wachungaji wa mchongo. Mtume mmoja alisababisha vifo vingi tu kule Moshi. Waziri alipotaka kumchukulia Sheria wakuu wake wakaingilia Kati jamaa hakuguswa.
 
Mkuu wakubwa Wana maslahi na hawa wachungaji wa mchongo. Mtume mmoja alisababisha vifo vingi tu kule Moshi. Waziri alipotaka kumchukulia Sheria wakuu wake wakaingilia Kati jamaa hakuguswa.
Political and leadership crisis
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha kipindi Cha kampeni alikuwa anaenda kulala kwenye madaraja kumsifia jiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi FM radio zinatengeneza kick kwa kuchukuliana watangazaji
 
Hivi kumbe Masanja nae ni mtangazaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…