Mkuu wakubwa Wana maslahi na hawa wachungaji wa mchongo. Mtume mmoja alisababisha vifo vingi tu kule Moshi. Waziri alipotaka kumchukulia Sheria wakuu wake wakaingilia Kati jamaa hakuguswa.Dola itoe maelekezo tu. Kwanini kwenye mambo mengine inatoa maelekezo. Kwanini huku ishindwe? Kuna matatizo mengine tunazalisha kwa makusudi tu.
Ile spirit ndio ameenda nayo hadi studio.
Yule jamaa kipindi cha nyuma alikuwaga wise sana ila tangu aanze kuwa asskisser wa magu amekuwa mtu wa hovyo sana
Political and leadership crisisMkuu wakubwa Wana maslahi na hawa wachungaji wa mchongo. Mtume mmoja alisababisha vifo vingi tu kule Moshi. Waziri alipotaka kumchukulia Sheria wakuu wake wakaingilia Kati jamaa hakuguswa.
Huwezi kuwa against serikali sana huku una mambo yako "meusi meusi"..Ile spirit ndio ameenda nayo hadi studio.
Yule jamaa kipindi cha nyuma alikuwaga wise sana ila tangu aanze kuwa asskisser wa magu amekuwa mtu wa hovyo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimependa ubunifu wa mapokezi yake, so simple pamoja na Begi lake maarufu kama Shangazi Kaja [emoji122][emoji122]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha kipindi Cha kampeni alikuwa anaenda kulala kwenye madaraja kumsifia jiwe
Ila wanawake wanapenda sana kujipendelea, kama kuna shangazi kaja vipi Mjomba kaja halipo?πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] litakuwepoo.Ila wanawake wanapenda sana kujipendelea, kama kuna shangazi kaja vipi Mjomba kaja halipo?[emoji125][emoji125][emoji125]
Mimi najaribu kuwaza Hawa watu ambao waligoma kula mpka wakafa....
Me nasubiri siku nione Mfuko wa Mjomba Kaja tu π€ͺ[emoji23][emoji23][emoji23] litakuwepoo.
Fill Frii ChachiKo mambo ya kanisa ameachana nayo