Masanja atua EFM

Masanja atua EFM

Nchi hii inawapumbavu wengi Sana kwa kweli.
Ifike Mahala hata kwenye maamzi ya kitaifa kama kupiga kula tugawe makundi ya watu. Maana Haiwezekani kura ya watu kama hao ziwe Sawa na watu wanao jielewa
Naunga mkono
 
Dola itoe maelekezo tu. Kwanini kwenye mambo mengine inatoa maelekezo. Kwanini huku ishindwe? Kuna matatizo mengine tunazalisha kwa makusudi tu.
Mkuu wakubwa Wana maslahi na hawa wachungaji wa mchongo. Mtume mmoja alisababisha vifo vingi tu kule Moshi. Waziri alipotaka kumchukulia Sheria wakuu wake wakaingilia Kati jamaa hakuguswa.
 
Mkuu wakubwa Wana maslahi na hawa wachungaji wa mchongo. Mtume mmoja alisababisha vifo vingi tu kule Moshi. Waziri alipotaka kumchukulia Sheria wakuu wake wakaingilia Kati jamaa hakuguswa.
Political and leadership crisis
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha kipindi Cha kampeni alikuwa anaenda kulala kwenye madaraja kumsifia jiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom