Masanja Kadogosa katumbuliwa kama Katibu wa Bodi ya TRC. Je, anabaki na Ukurugenzi wake? Kama anabaki nao ni halali?

Hata mimi logic sioni!!
 
Kama mnataka Kadogosa awajibike au awajibishwe, kuweni wawazi. Sio kubisha vitu ambavyo viko wazi. Nashiriki vikao, najua nafasi ya mwenyekiti, najua influence ya mwenyekiti. Mwenyekiti mnyonge hafai kuwa mwenyekiti.
 
Acha kupotosha

Katibu wa Bodi ndio mratibu na muandaaji wa Mikutano yote ya bodi ikiwemo kuandaa board paper

Ushawishi wake ni mkubwa zaid ukiondoa wa mwenyekiti

Unacho kisema ni sahihi kabisa ataandaaje board paper kama as of is "deaf and mute" - wakati yeye ndiye mkurugenzi mkuu wa Shirika, kama angekuwa na uzalendo wa kweli kwanini anlikosa ujasiri wa kumu-confront board Chairman na kumwambia point blank kuwa huko tunako elekea siyo kabisa - lakini kunyamaza kwake na kujali zaidi kuandaa ma board papers ambayo yameshenini more questions than others in other words kunyamaza kwake speaks volume about him, siwa kichukuliwa lightly hata kidogo - who knows may be aliwahi kumutonya rais kuhusu mwenendo wa board nzima kwamba haufahi au aliwahi kutoa taarifa takukuru - kama alikaa kimya wakati mambo hayaendi vizuri basi na yeye ana walakini mkubwa kwenye suala hili - naye aondolewe kama wenzake hii lame excuse ya kusema eti "kazi yake ilikuwa ni ku present board papers tu hiyo ni immaterial.

Ukweli ni kwamba hakuna chochote kilicho kuwa kinafanyika cha ndio sivyo pale bila ya DG/CEO kujua, haiwezekani - mzianze ku-manufacture lame excuses eti "wanataka kuwaonea Wasukuma walio bakizwa kazini na Mugufuli", after all - Dr. SSH hayuko hivyo hata kidogo.
 
Kama mnataka Kadogosa awajibike au awajibishwe, kuweni wawazi. Sio kubisha vitu ambavyo viko wazi. Nashiriki vikao, najua nafasi ya mwenyekiti, najua influence ya mwenyekiti. Mwenyekiti mnyonge hafai kuwa mwenyekiti.
mkuu utakuwa unashiriki sawa ila hujui unashiriki nini

mwenyekiti ana ifluence sawa ila hana madaraka yote kama unavyo taka kutuaminisha

anacho fanya ni kushawishi wajumbe kukubaliana nae

ila kama wajumbe idadi kubwa wakikinzana mawazo na mwenyekiti hawezi amua ilo jambo kwa utashi wake (kama unavyo taka kutuaminisha)

mwenyekiti ni mjumbe kama wajumbe wengine sema yeye kapewa kuongoza tu

ntakuwa wa mwisho kukubaliana na wewe kuwa mwenyekiti ana nguvu ya kusaini dokumenti kwa utashi wake hata wajumbe wapinge wote.
 
Kadogosa hawezi kufanya manunuzi makubwa hivyo bila Makatibu wakuu wa wizara za uchukuzi na hazina, mawaziri wao na mwisho Ikulu lazima ijue, hapa wanaotakiwa kuondoka ni kuanzia Waziri Mkuu mpk huyo Kadogosa
 
Mwanzoni kipindi cha magufuli nilijua mkurugenzi ndugu kadogosa ni mtu makini na mzalendo kumbe ni uchafu kama walivyo akina nape
Tatizo la Tanzania ni system nzima imeoza kuanzia Ikulu kushuka chini hakuna msafi hata mmoja, wote ni wezi tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…