johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
kwa ccm inawezekana,mbona bungeni wao ni kusifu tu mawaziri.Kama ameweza darasa la pili Deo Sanga wa Njombe ata shindwa mkandamizaji?Muigizaji mashuhuri na mwimbaji wa nyimbo za injili Emanuel au Masanja kama anavyojulikana na wengi anataraji kugombea ubunge jimboni mbarali. Ameyasema hayo baada ya kumwimbia Mungu ktk mkutano mkubwa wa injili unaoendelea viwanja vya jangwani leo hii.
chama gani??.
Humuonagi kwenye mikutano ya magamba?
Muigizaji mashuhuri na mwimbaji wa nyimbo za injili Emanuel au Masanja kama anavyojulikana na wengi anataraji kugombea ubunge jimboni mbarali. Ameyasema hayo baada ya kumwimbia Mungu ktk mkutano mkubwa wa injili unaoendelea viwanja vya jangwani leo hii.
Naona mwaka huu kila mtu anataka ubunge nimesikia hata stev nyerere nae ametangaza nia ataka kugombea kinondoni