Masanja Mkandamizaji amzidi Utajiri Diamond Platnumz

Masanja Mkandamizaji amzidi Utajiri Diamond Platnumz

Bongo bana. Acha mi niendelee kubeba boksi hapa Copenhagen. Kwa saa 170 krone hupo hapo. Nå Naanza kufagia nakuosha vyombo makampuni matatu tofauti. Nikiamka alfajir saa 10 kurudi ghetto amambayo ni shared apartment ni saanne ucku. Ni jpili tu ndio na pumzika. @ a young age of just 25 I work very hard and earn legally. I abide to this country laws and I faithfully pay my taxes and bills without delay. Am financially disciplined. Kwa sikuwnakuingizia more than 2000 krone hata wakinikata kodi nå bills na cheza na madaf kama laki 5 iv. Wewe KJ endelea kututukana tu. I really hate this 56 years old ignorant stupid anti diaspora man.

Kaka rudi home kama maisha tait pande hizo....post yako inatafsiri kila kitu.
 
Bongo bana. Acha mi niendelee kubeba boksi hapa Copenhagen. Kwa saa 170 krone hupo hapo. Nå Naanza kufagia nakuosha vyombo makampuni matatu tofauti. Nikiamka alfajir saa 10 kurudi ghetto amambayo ni shared apartment ni saanne ucku. Ni jpili tu ndio na pumzika. @ a young age of just 25 I work very hard and earn legally. I abide to this country laws and I faithfully pay my taxes and bills without delay. Am financially disciplined. Kwa sikuwnakuingizia more than 2000 krone hata wakinikata kodi nå bills na cheza na madaf kama laki 5 iv. Wewe KJ endelea kututukana tu. I really hate this 56 years old ignorant stupid anti diaspora man.

Subiri le mutuz aje kukujibu. umemtukana sana
 
Kaka rudi home kama maisha tait pande hizo....post yako inatafsiri kila kitu.
nirudi bongo kufanya nini kwasasa. Niliteseka sana bongo. Nilishinda njaa mara nyingi. Nilidharauliwa kibaruani. Nilifight sana. Nilimuibia ndugu yangu hela nyingi kuja ulaya. Alilaani sana ila sasa ananimwagia baraka. Wabongo wenzang ambao ni wavivu kupindukia hapa wananiita landrover. Eeh bwana napiga mzigo c mchezo. Huko mzigon naheshimiwa sana. Nina miaka mi5 hapa Denmark. Kwenye account Amin uciamini ki2 284,000 krone kimetulia ma'am maee. Nilikuwa napata laki moja kwa mwezi bongo. Nå ss iv nakuingizia kama laki 5 madaf kwa cku hupo håpo cheseya Denmark wewe. Halaf unasema nirud bongo et håpa tighty. Thubutu. Bongo narudi kusalimu Tusind. Nyumban ni Nyumban. Ila nilikuw a fukara sana halaf KJ anatutukana. I really hate him
 
nirudi bongo kufanya nini kwasasa. Niliteseka sana bongo. Nilishinda njaa mara nyingi. Nilidharauliwa kibaruani. Nilifight sana. Nilimuibia ndugu yangu hela nyingi kuja ulaya. Alilaani sana ila sasa ananimwagia baraka. Wabongo wenzang ambao ni wavivu kupindukia hapa wananiita landrover. Eeh bwana napiga mzigo c mchezo. Huko mzigon naheshimiwa sana. Nina miaka mi5 hapa Denmark. Kwenye account Amin uciamini ki2 284,000 krone kimetulia ma'am maee. Nilikuwa napata laki moja kwa mwezi bongo. Nå ss iv nakuingizia kama laki 5 madaf kwa cku hupo håpo cheseya Denmark wewe. Halaf unasema nirud bongo et håpa tighty. Thubutu. Bongo narudi kusalimu Tusind. Nyumban ni Nyumban. Ila nilikuw a fukara sana halaf KJ anatutukana. I really hate him

sawa kaka nimekusoma...tafuta hela
 
Kamzidi Mali? Utajiri? Mali kila mtu anazo hata TV au nyumba ni Mali, but Utajiri ni off-the-hook.. Ni kumiliki mamilioni ktk cash and investments!! Hawa wamezidiana Mali hakuna mwenye billion hata 10 hapo..
 
Pale kwenye maombezi watu wengine ndio hivyo wanaenda kumuona masanja live as wamezoea kumuona kwenye kideo tu.

Comedy pekee ingekuwa inalipa hata kina joti wangekua washafanya investment

Hapo dada umeongea. Alipokuja pale Moro kama mualikwa wa harambee ya kuchangia Top TV (japo cjui hawa jamaa wameishia wapi) Masanja alibeba kapu huku akisindikizwa na wimbo wake, watu waling'ang'ania kwenda kuchangia kwa Masanja ili wamguse au wamuone kwa ukaribu tu! Yaan alipohamia tu kwenye uchungaji, ikitangazwa tu jamaa anahudumu siku hiyo utakuta watu wamejaaaa! Sasa as more people attend, more sadaka! Kweli huu nao ni ujasiriamali.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Bongo bana. Acha mi niendelee kubeba boksi hapa Copenhagen. Kwa saa 170 krone hupo hapo. Nå Naanza kufagia nakuosha vyombo makampuni matatu tofauti. Nikiamka alfajir saa 10 kurudi ghetto amambayo ni shared apartment ni saanne ucku. Ni jpili tu ndio na pumzika. @ a young age of just 25 I work very hard and earn legally. I abide to this country laws and I faithfully pay my taxes and bills without delay. Am financially disciplined. Kwa sikuwnakuingizia more than 2000 krone hata wakinikata kodi nå bills na cheza na madaf kama laki 5 iv. Wewe KJ endelea kututukana tu. I really hate this 56 years old ignorant stupid anti diaspora man.

Mufti Lion, piga kazi ndg yng, waweza kuta anayeizarau kazi yako hata buku kwa siku haingizi. Kazi ni kazi ilimradi mkono uingie kinywani. Dharau sio dili as akudharauye hata kama ni Meneja kazi yake haikusaidii. Ni limbukeni tu atakayedharau kazi ya halali ya mwenzie.
Mf mie nawaheshimu sana waokota makopo. Wale wanaowadharau sijawi kuona hata mara moja wakitoa ata jero kuwapatia!!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nirudi bongo kufanya nini kwasasa. Niliteseka sana bongo. Nilishinda njaa mara nyingi. Nilidharauliwa kibaruani. Nilifight sana. Nilimuibia ndugu yangu hela nyingi kuja ulaya. Alilaani sana ila sasa ananimwagia baraka. Wabongo wenzang ambao ni wavivu kupindukia hapa wananiita landrover. Eeh bwana napiga mzigo c mchezo. Huko mzigon naheshimiwa sana. Nina miaka mi5 hapa Denmark. Kwenye account Amin uciamini ki2 284,000 krone kimetulia ma'am maee. Nilikuwa napata laki moja kwa mwezi bongo. Nå ss iv nakuingizia kama laki 5 madaf kwa cku hupo håpo cheseya Denmark wewe. Halaf unasema nirud bongo et håpa tighty. Thubutu. Bongo narudi kusalimu Tusind. Nyumban ni Nyumban. Ila nilikuw a fukara sana halaf KJ anatutukana. I really hate him
Hata usimchukie, ndipo akili yake ilivyomtuma. Kila mbuzi hula urefu wa kamba yake.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kamzidi Mali? Utajiri? Mali kila mtu anazo hata TV au nyumba ni Mali, but Utajiri ni off-the-hook.. Ni kumiliki mamilioni ktk cash and investments!! Hawa wamezidiana Mali hakuna mwenye billion hata 10 hapo..

Wasanii wetu wa Bongo fleva wengi huishia kuwekeza ktk starehe. Jamaa kamzidi ndio in the contexts u explained.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nirudi bongo kufanya nini kwasasa. Niliteseka sana bongo. Nilishinda njaa mara nyingi. Nilidharauliwa kibaruani. Nilifight sana. Nilimuibia ndugu yangu hela nyingi kuja ulaya. Alilaani sana ila sasa ananimwagia baraka. Wabongo wenzang ambao ni wavivu kupindukia hapa wananiita landrover. Eeh bwana napiga mzigo c mchezo. Huko mzigon naheshimiwa sana. Nina miaka mi5 hapa Denmark. Kwenye account Amin uciamini ki2 284,000 krone kimetulia ma'am maee. Nilikuwa napata laki moja kwa mwezi bongo. Nå ss iv nakuingizia kama laki 5 madaf kwa cku hupo håpo cheseya Denmark wewe. Halaf unasema nirud bongo et håpa tighty. Thubutu. Bongo narudi kusalimu Tusind. Nyumban ni Nyumban. Ila nilikuw a fukara sana halaf KJ anatutukana. I really hate him

Komaa huko huko mie nna ndugu yangu siku hizi yuko marekani amemaliza chuo tulimaliza wote ye akasepa zake kwenda kubeba boksi three years zimepita ndio karudi majuzi ana mkwanja wa maana tu sie katuacha mbali tunakomaa na bongo darisalama jiji lazidi kuwa gumu...

kabadilika kichizi tumebakia kuwa wa kuletewa zawadi
 
Komaa huko huko mie nna ndugu yangu siku hizi yuko marekani amemaliza chuo tulimaliza wote ye akasepa zake kwenda kubeba boksi three years zimepita ndio karudi majuzi ana mkwanja wa maana tu sie katuacha mbali tunakomaa na bongo darisalama jiji lazidi kuwa gumu...

kabadilika kichizi tumebakia kuwa wa kuletewa zawadi

Tangu rafiki zangu niliokuwa nawaacha mbali kitaaluma tangu shule ya mtaro nikute wako juu sana zaidi yng cwez dharau kazi ya mtu ilimradi iwe ya harali! Big up wabeba mabox Ulaya. Komaeni, Bongo wengi huku michosho tuu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwaio kulala masaa mawili kwa siku ili uweze kupata hizo hela unazojidanganya nazo ndo kuna kufanya uanze kujisifia? huko ulaya hamna kitu si ajabu na miaka yako 25 umezeeka kwa kupigwa na baridi unaonekana ni mzee kuliko umri wako kwa mtu ambae hajawahi kufika ulaya au hajawahi waona watu wanavyotaabika huko ulaya hawezi elewa kazi za kishenzi tu hamna issue nashukuru Mungu mzee wangu alituwezesha kupata exposure za huko ulaya yani ni hamna kitu na kinacho wakwamisha kurudi huku wabongo wengi ni aibu wako nyuma sana kimaendeleo ukicompare na hao waliowaacha watu huku bongo...Over..!!
 
Bongo bana. Acha mi niendelee kubeba boksi hapa Copenhagen. Kwa saa 170 krone hupo hapo. Nå Naanza kufagia nakuosha vyombo makampuni matatu tofauti. Nikiamka alfajir saa 10 kurudi ghetto amambayo ni shared apartment ni saanne ucku. Ni jpili tu ndio na pumzika. @ a young age of just 25 I work very hard and earn legally. I abide to this country laws and I faithfully pay my taxes and bills without delay. Am financially disciplined. Kwa sikuwnakuingizia more than 2000 krone hata wakinikata kodi nå bills na cheza na madaf kama laki 5 iv. Wewe KJ endelea kututukana tu. I really hate this 56 years old ignorant stupid anti diaspora man.

Nipe dili msela na mie nikamate mahela...
 
Kwaio kulala masaa mawili kwa siku ili uweze kupata hizo hela unazojidanganya nazo ndo kuna kufanya uanze kujisifia? huko ulaya hamna kitu si ajabu na miaka yako 25 umezeeka kwa kupigwa na baridi unaonekana ni mzee kuliko umri wako kwa mtu ambae hajawahi kufika ulaya au hajawahi waona watu wanavyotaabika huko ulaya hawezi elewa kazi za kishenzi tu hamna issue nashukuru Mungu mzee wangu alituwezesha kupata exposure za huko ulaya yani ni hamna kitu na kinacho wakwamisha kurudi huku wabongo wengi ni aibu wako nyuma sana kimaendeleo ukicompare na hao waliowaacha watu huku bongo...Over..!!
inategemea a circumstance ya mtu.wengine background yao ya kimaisha bongo sio mbaya,akienda ulaya anaona bora maisha ya bongo.kuna jamaa mmoja alikuwa anauza supu sokoni,amekuja ulaya anabeba boksi,amejenga nyumba zaidi ya moja bongo,kwake yeye anasema angeishi bongo asingekuwa na huo uwezo,kwa sasa ameshaoa maisha yake yako poa na bado yupo nje
 
inategemea a circumstance ya mtu.wengine background yao ya kimaisha bongo sio mbaya,akienda ulaya anaona bora maisha ya bongo.kuna jamaa mmoja alikuwa anauza supu sokoni,amekuja ulaya anabeba boksi,amejenga nyumba zaidi ya moja bongo,kwake yeye anasema angeishi bongo asingekuwa na huo uwezo,kwa sasa ameshaoa maisha yake yako poa na bado yupo nje

Well said
 
Kwaio kulala masaa mawili kwa siku ili uweze kupata hizo hela unazojidanganya nazo ndo kuna kufanya uanze kujisifia? huko ulaya hamna kitu si ajabu na miaka yako 25 umezeeka kwa kupigwa na baridi unaonekana ni mzee kuliko umri wako kwa mtu ambae hajawahi kufika ulaya au hajawahi waona watu wanavyotaabika huko ulaya hawezi elewa kazi za kishenzi tu hamna issue nashukuru Mungu mzee wangu alituwezesha kupata exposure za huko ulaya yani ni hamna kitu na kinacho wakwamisha kurudi huku wabongo wengi ni aibu wako nyuma sana kimaendeleo ukicompare na hao waliowaacha watu huku bongo...Over..!!

Lyamber wewe mtoto wa kishua hata usipoamka siku nzima bado uhakika wa kula na kupewa hela ya matumizi unao. Mtoto laini kama wewe kazi ngumu huwezi. Lakini ikitokea mtu aliekwisha kuonja maisha ya taabu hapo tanzania akapata bahati ya kufanya kazi ulaya wala suala la baridi halimsumbui. Kwanza huendi kazini uchi kuna nguo maharumu kwa ajili ya baridi ushindwe wewe tu.
 
Back
Top Bottom