Masanja mkandamizaji atembelea mgodi wake wa dhahabu

Mmmh moyo unagoma kuamini asee uchungaji unalipa kiasi hiki? Maana toka alivoajiingiza huko ndo akaibuka
Here you go.....ukisema hapa utaambiwa una wivu cjui nini!... Masanja ana FUBA mpaka anajiogopaa mwenyewe![emoji15] [emoji15]
 
Mkuu acha kushadadia mambo mengine yapo wazi tu hakuna utajiri ndan ya miaka 3 cjui 2 umiliki ndege, mgodi,magorof,mashamba .. Kuna namna
 
Here you go.....ukisema hapa utaambiwa una wivu cjui nini!... Masanja ana FUBA mpaka anajiogopaa mwenyewe![emoji15] [emoji15]
Hahaaa nimuonee wivu MTU ambae hata simjui ila kwenye ukweli unasemwa[emoji57] [emoji57] [emoji57] Kama sio ngada hizi sijui
 
we nae kama wadada wa kona sinza mwepesi kuamini vitu bila kushirikisha kichwa, hata ukiambiwa masanja ana miliki tilioni 5 utaamini tu kwa kichwa panzi chako
Angekuwa Mangi ungemtetea tu
 
Sasa kuponda wanaokula KFC wakati yeye anauza wali au anafungua burger points je watakao kwenda kwenye burger points zake ni wajinga au?
 
Heri yake yeye mwenye mitaji na jina sisi tunalima heka moja au nusu heka mkuranga na kwingineko hatutoboi miaka nenda Rudi.

Hatukopesheki,sokoni tunalaliwa,Kila leo bei ya pembejeo inapanda,bei ya usafiri utakimbia.

Siku hizi vijana wanajitahidi kujikita kwenye "vilimo" Sema changamoto ni hizo tajwa juu.Masanja msalimie shemejiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…