Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Habari wadau,
Sijapendezwa na Tambo za Huyu masanja makandamizaji,japo Mungu amamempa nyumba kadhaa,magari kadhaa na mashamba ya mpunga,asijione ndio maisha kayapatia,Kuna watu walikuwa na pesa kuliko yeye kwa sasa ni choka mbaya..."Mimi nimezaliwa kijijini porini lakini nawakalisha kifedha hadi waliozaliwa mbele kwa Obama nini ocean road?"
Habari wadau,
Sijapendezwa na Tambo za Huyu masanja makandamizaji,japo Mungu amamempa nyumba kadhaa,magari kadhaa na mashamba ya mpunga,asijione ndio maisha kayapatia,Kuna watu walikuwa na pesa kuliko yeye kwa sasa ni choka mbaya..."Mimi nimezaliwa kijijini porini lakini nawakalisha kifedha hadi waliozaliwa mbele kwa Obama nini ocean road?"
....baabako!..umekiri Mungu ndie aliempa!kinabo hujapendezwa kwani wewe ndie nani??
Habari wadau,
Sijapendezwa na Tambo za Huyu masanja makandamizaji,japo Mungu amamempa nyumba kadhaa,magari kadhaa na mashamba ya mpunga,asijione ndio maisha kayapatia,Kuna watu walikuwa na pesa kuliko yeye kwa sasa ni choka mbaya..."Mimi nimezaliwa kijijini porini lakini nawakalisha kifedha hadi waliozaliwa mbele kwa Obama nini ocean road?"
Bado akiongea rafudhi yake kama ndio kafika leo mjini..wakijijini wa kijijini tu..utauficha ushamba kwa mavazi na magari lkn ukiongea wajanja tutakujua tu UMEKUJA!.
Hiv nin maana halisi ya ujanja????? Ni lafudhi ndo kuwa mjanja au pesa???? Am so wandazzzz!! masanja rudi tena ufafanuee naona mada zmeinguliana hku....
pesa ndo ujanja mkuu, utafika kila sehemu kwenye hii dunia, ila usipokuwa nazo uta.......
Zingatieni context anayoongelea Mtu ndo mje kupiga umbeya huku JF.
Acha ujinga, mungu hawezi kukupa majumba, magari na mashamba. Fanya kazi jitume tafuta mbinu tofauti za kuingiza hela. Hayo mambo ya kusema mungu kampa ni ufala na akili za kimasikini
....baabako!..umekiri Mungu ndie aliempa!kinabo hujapendezwa kwani wewe ndie nani??
Nyie Makenge msione nilivyosema hayo maneno mkanichukulia Poa,hivo vigari na vipagale ninavyo vya kutosha,Huyo boya kanizidi umaarufu tu,nimeleta hapa kwa kitendo chake cha kudharau ambao hawana Kitu kisa yeye kumiliki matoyo na mapagale.
Hiv nin maana halisi ya ujanja????? Ni lafudhi ndo kuwa mjanja au pesa???? Am so wandazzzz!! masanja rudi tena ufafanuee naona mada zmeinguliana hku....
Nyie Makenge msione nilivyosema hayo maneno mkanichukulia Poa,hivo vigari na vipagale ninavyo vya kutosha,Huyo boya kanizidi umaarufu tu,nimeleta hapa kwa kitendo chake cha kudharau ambao hawana Kitu kisa yeye kumiliki matoyo na mapagale.
Ujanja nikupata cyo lafudhi