real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Acha ujinga, mungu hawezi kukupa majumba, magari na mashamba. Fanya kazi jitume tafuta mbinu tofauti za kuingiza hela. Hayo mambo ya kusema mungu kampa ni ufala na akili za kimasikini
akili za watu wa pwani, nikirudi kwenye uzi wa mwanzo masanja ana kauli nyingi za majivuno, kuna watu wengi mabilionea lakini wapo humble tu, aache majivuno