Tutajuaje mkuu??? Weka picha
Hahahhh mkuu una utani na hasira za watu ee...
Nyie Makenge msione nilivyosema hayo maneno mkanichukulia Poa,hivo vigari na vipagale ninavyo vya kutosha,Huyo boya kanizidi umaarufu tu,nimeleta hapa kwa kitendo chake cha kudharau ambao hawana Kitu kisa yeye kumiliki matoyo na mapagale.
Acha ujinga, mungu hawezi kukupa majumba, magari na mashamba. Fanya kazi jitume tafuta mbinu tofauti za kuingiza hela. Hayo mambo ya kusema mungu kampa ni ufala na akili za kimasikini
Nyie Makenge msione nilivyosema hayo maneno mkanichukulia Poa,hivo vigari na vipagale ninavyo vya kutosha,Huyo boya kanizidi umaarufu tu,nimeleta hapa kwa kitendo chake cha kudharau ambao hawana Kitu kisa yeye kumiliki matoyo na mapagale.
kaaa haya maneno uliyoyaandika yanaendana na jina lako kabisa.
Bado akiongea rafudhi yake kama ndio kafika leo mjini..wakijijini wa kijijini tu..utauficha ushamba kwa mavazi na magari lkn ukiongea wajanja tutakujua tu UMEKUJA!.
Sasa anataka watu wote walime? si akakae huko kijijini kwao kila mtu anakimbilia mjini kijijini kwao atajenga nani?
Sasa anataka watu wote walime? si akakae huko kijijini kwao kila mtu anakimbilia mjini kijijini kwao atajenga nani?
Nikwambie kitu wewe una tatizo kubwa sana. Ukishaona kila anaefanikiwa unamchukia ujue una tatizo, na una tatizo la kupenda kujiweka fungu la kukosa. Angalia tu isikuathiri ata kwenye maisha yako ya kila siku.Huyu jamaa nilitokea kumkubali sana enzi za Ze Comedy kupitia EATV 2007/8.
Lakini kwa siku za hivi karibuni kanitoka kabisa kwa hayo majigambo yake.
Huyu jamaa nilitokea kumkubali sana enzi za Ze Comedy kupitia EATV 2007/8.
Lakini kwa siku za hivi karibuni kanitoka kabisa kwa hayo majigambo yake.
Nyie Makenge msione nilivyosema hayo maneno mkanichukulia Poa,hivo vigari na vipagale ninavyo vya kutosha,Huyo boya kanizidi umaarufu tu,nimeleta hapa kwa kitendo chake cha kudharau ambao hawana Kitu kisa yeye kumiliki matoyo na mapagale.
Bado akiongea rafudhi yake kama ndio kafika leo mjini..wakijijini wa kijijini tu..utauficha ushamba kwa mavazi na magari lkn ukiongea wajanja tutakujua tu UMEKUJA!.