Tetesi: Masanja na mpoki wapatana rasmi

Tetesi: Masanja na mpoki wapatana rasmi

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Habari za kunyapia zinadai wawili hao walikuwa hawapikiki sufuria moja ila walijikaza kidume kutoonesha hadharani hadi pale wenye mji walipowaita na kuyamaliza kwa amani,kwa sasa wanajipanga kuja na kipindi chao upya kwa mwendo kasi.
Hongera zao
tui.jpg
 
Hili lilikua linaonekana kama ukiwafuatilia kwenye social media ilionekana hawafagiliani na wale wengine wamepotea kabisa hawasikiki
 
Back
Top Bottom