Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Sidanganyiki....[emoji23] [emoji23] we niambie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidanganyiki....[emoji23] [emoji23] we niambie tu
[emoji23] [emoji23] nilivyoona umeniquote nimeshtuka nusura nidondoshe simu maana kuna mahali nilikuwa najiachia na mumeo[emoji1] utasutwa wewe
Basi usiniulize tena kwa taarifa yako habari yote ninayoSidanganyiki....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi usiniulize tena kwa taarifa yako habari yote ninayo
Kheee![emoji23] [emoji23] nilivyoona umeniquote nimeshtuka nusura nidondoshe simu maana kuna mahali nilikuwa najiachia na mumeo
Ukiachika ndo vizuri wengine tunakamatia fursa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha hizo jamani.. Ko unataka niachike au
Nikuambie ili nigundue nini kwa mfanoKheee!
Wapi huko nikajionee?
EeehUkiachika ndo vizuri wengine tunakamatia fursa
Siku hz wanaita ubuyu mkuuNan kakupa huu umbeya
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Eeeh
Yamekuwa hayo tena jamani [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ehee ndo yamekuwa haya mi simoo[emoji125] [emoji125]
Watumishi hewa au wa umma???Mmoja c mchungaji nae alikuwa kamnunia binadamu mwenzake??? Hawa watumishi wa siku hizi hawa Mungu anawaona[emoji54][emoji54][emoji54]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] veronica au monicaNasikia chanzo cha bifu lao ni Joti ambaye alimwambia Masanja kuwa Mpoki huwa anamzunguka na kwenda kwa Veronica.
Naskia mpoki wamepatanaEhee ndo yamekuwa haya mi simoo[emoji125] [emoji125]
We mwanaume wewe hebu ngoja kwanza,ulikua mnafanya nini na huyo bibie uchochoroni?Naskia mpoki wamepatana
Mie nilikuwa napata Heineken moja mbili akawa ananichekesha nikamchekesha tu mama.We mwanaume wewe hebu ngoja kwanza,ulikua mnafanya nini na huyo bibie uchochoroni?
Sasa kwanini nawewe umchekeshe?Mie nilikuwa napata Heineken moja mbili akawa ananichekesha nikamchekesha tu mama.