Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hayo tutayamaliza Mimi nawewe tena.... Nishike mkono twendeSasa kwanini nawewe umchekeshe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo tutayamaliza Mimi nawewe tena.... Nishike mkono twendeSasa kwanini nawewe umchekeshe?
Daby wangu mambo? NimekumisijeeMie nilikuwa napata Heineken moja mbili akawa ananichekesha nikamchekesha tu mama.
Masanja amewatumia vizuri mpoki na joti kujinufaishaInadaiwa masuala ya kupigana kifedha masanja alionekana anakamatia dili kubwa na kuwazidi mbali wenzie hivyo waongo wakapenya kuwaaminisha wengine anawapiga wenzie ila yameisha kabisa
Nipo bibie kwa hiyo kweli unanimisia hapa badala ukujeDaby wangu mambo? Nimekumisijee
Akuje wapi?Nipo bibie kwa hiyo kweli unanimisia hapa badala ukuje
Nmependa id yako na mimi naitendea haki. Usimuache mchawi aishiTazama jinsi ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa pamoja. Zaburi
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji1]Akuje wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe waliingia kwenye mgogoro wa Makinikia
Yap jamaa ni mjanjamjanja fulani hivi, aliwazidi wenzake akili wamestuka jamaa kashafika mbaliMasanja amewatumia vizuri mpoki na joti kujinufaisha
he was once a nobody ....but now amewapiga gap ...