Masanja: Nimevuna mpunga ekari 15 Mbarali Estate - Mbeya

hasason

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
1,648
Reaction score
1,539
Kijana masanja mkandamizaji as known as Pastor to be akijituma uko ubaruku, inasemekana anazalisha 200 bags per year kwenye hii investment tu, sa soon tu huyu si mwingine kabsa, huu ni model kwa vijana wote wanaopenda mabadiliko so keep stepping forward man!!!


 

Attachments

  • 5.jpg
    55.7 KB · Views: 3,440
Hii ya kukanyaga nafaka ni kawaida?

Au hicho sio chakula?
 
Kavaa soksi.....mkuu usistaajabu mikate ilikuwa ikikandwa kwa miguu na tulikula. Kwakweli nami nafikiria niwe msanii ili nitoke, kumbe inalipa hivyoo

Hata michicha inayolimwa kwenye bonde la Msimbazi tunakula licha ya kuonywa na serikali mara kadhaa

Kuwepo kwa mazoea fulani hakuna maana kwamba lifanywalo ni sahihi

Mengine hayapendezi
 
Umeonae hawa watu ni wavitendo zaidi mboyoyo ni marufuku me namkubali sana chalii!!!!

Soon mtamuita fisadi, na kuanza kumchukia, kawaida kwa watanzania, wivu halafu kazi hawataki kifanya, ukijituma unaitwa fisadi au freemason, watanzania tujifunze kependa maendeleo, na si kila mali inapatikana kwa wizi au nguvu za giza
 
vijana wanangoja chadema iwalete maendeleo.. wakati serikali tayari imeweka fursa za vijana kuhangaika.... mf.mzuri kuna kijana kajenga nyumba yake anasomesha na anafamilia yake kwa biashara ya kuuza karanga za kukanga ..lakini wako mtaani wanapiga kelele ccm ccm mbaya ccm mbaya ccm mbaya...kalaga bao
 
Soon mtamuita fisadi, na kuanza kumchukia, kawaida kwa watanzania, wivu halafu kazi hawataki kifanya, ukijituma unaitwa fisadi au freemason, watanzania tujifunze kependa maendeleo, na si kila mali inapatikana kwa wizi au nguvu za giza

That was my point!!
 
Kavaa soksi.....mkuu usistaajabu mikate ilikuwa ikikandwa kwa miguu na tulikula. Kwakweli nami nafikiria niwe msanii ili nitoke, kumbe inalipa hivyoo

kwani hapo ni sanaa au kilimo?
 

ubaya wa ccm ni wezi na wanateteana!
 
He! Hiyo Harvester pia ni ya kwake au ya kukodi? Mbona namuogopa sasa huyu mtu duh! Hongera sana Mkandamizaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…