Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
correction... mie nina zero za miaka ya themanini...Acha kukurupuka pimbi wee fuatilia comments za mwanzo uone negativity iko wapi wakati na muencourage afanye zaidi? Hamna mahali nilipomkejeli kwanza nimempongeza kwa kulima hizo 15 my point is naamini anaweza fanya zaidi ya hizo 15 na kufanya zaidi ya 100 sasa hapo negativity iko wapi? Hizi Zero za siku hizi bwana kazi kweli kweli
duh..sasa wewe umejuaje?ama maana ya promo ni nini?jamaa ni mfano mkubwa, halafu anafanya chinichini, hataki promo na kujidai
Soon mtamuita fisadi, na kuanza kumchukia, kawaida kwa watanzania, wivu halafu kazi hawataki kifanya, ukijituma unaitwa fisadi au freemason, watanzania tujifunze kependa maendeleo, na si kila mali inapatikana kwa wizi au nguvu za giza
correction... mie nina zero za miaka ya themanini...
Hebu tuambie na wewe umelima ngapi, au umewekeza wapi?? maana naona unakomalia ya kijana anayejaribu ku-diversify his investments. Kuna thread hapa ilishakuja ya nyumba za masanja, hiyo ni dalili tosha kwamba hajiwekezezi kumoja
Anyway, ni rahisi sana kubwabwaja humu lakini waweza kuta huna hata tuta la nyanya wala nini
na mie samahani sana kwa kutuita boyaMkuu tutumie busara basi naona haya mabishano yetu haya tija hata kidogo the bottom line of my discussion hukuielewa nilimpongeza kwa hizo alizolima ila nikasema naami kwa level yake anaweza fanya zaidi hata 100 + acres so ilikuwa ni challenji what I have or don't have sio muhimu sana ila kwa masanja ni muhimu kidogo kwasababu inaweza kuwa inspire vijana wengine kuwekeza hasa kwenye kilimo ambapo kuna fursa kubwa sana so naomba tukubali kutofautiana na tuishie hapa badala ya kulumbana bila sababu na kuitana majina ya hovyo sorry kwa kukuita pimbi and all the best
na mie samahani sana kwa kutuita boya
Soon mtamuita fisadi, na kuanza kumchukia, kawaida kwa watanzania, wivu halafu kazi hawataki kifanya, ukijituma unaitwa fisadi au freemason, watanzania tujifunze kependa maendeleo, na si kila mali inapatikana kwa wizi au nguvu za giza
Ila nyumba kubwa (ile ya mjini) madirisha ameweka ya kibangaizaji......
Hii ya kukanyaga nafaka ni kawaida?
Au hicho sio chakula?
we masanja mshukuru mungu wako sio kutukandia wenzio
hayo madirisha ni ya kawaida na ni mazuri hivyo unavyoviana ni paper plaster uwa wanaweka wakati wa ujenzi kuzuia uharibifu wakati ujenzi unaendelea
Hata yeye hatafuti sifa za kijinga ndio maana hajayaeleza yale ambayo ameifanyia jamii.