Masanja: Nimevuna mpunga ekari 15 Mbarali Estate - Mbeya

He! Hiyo Harvester pia ni ya kwake au ya kukodi? Mbona namyuogopa sasa huyu mtu duh! Hongera sana Mkandamizaji.

ni mali yake sema mtu ambayehajionyeshi kama masanja mambo mengi unaweza kustaajabu!!!
 
Hii ya kukanyaga nafaka ni kawaida?

Au hicho sio chakula?

kawaida mno kwene mpunga...... huku mbeya huwa wanauanka adi kwene njia magar yanapta watu wanakanyaga, baiskel yaan kla kitu kinapita juu
 
KWANZA abarikiwe nasiye tujitume na kuwajibika. Fursa zipo tutumie mbinu zetu na kujiamini. Ni jitihada zako mwenyewe,Tuachane na Umbea na majunguu... Nchi yetu kubwa ina mali za aina. Blessings kwa wote
 
Hii ya kukanyaga nafaka ni kawaida?

Au hicho sio chakula?

Kwani wewe unakulaga pumba? Maana ukitaka kula utakoboa na maganda yatatupwa sasa akikanyaga tatizo lako nini?
 
...pia ameanzisha kampuni ya ulinzi inaitwa O.K Security ,na amesha recruit vijana kibao wapo kazini, na kila siku yuko vijijini kuhubiri mikutano ya injili. dogo kajipanga vizuri...

Sasa naanza kupata wasiwasi zaidi...yaani wasanii wote watakuwa hawana malengo
 
Sasa naanza kupata wasiwasi zaidi...yaani wasanii wote watakuwa hawana malengo
..ile show yao imewaingizia hela nzuri sanaaa hasa mialiko ya nje ya makampuni na matangazo. yule mwenzao wakuvanga nadhani kanunua nyumba mikocheni nyuma ya kairuki hospital (tetesi bei aliyonunulia ni 100m), wako vizuri ila matumizi wanatofautiana sana...
 

Du aisee ni hatari ngoja namie nianze usanii kumbe inalipa.
 
Hii ya kukanyaga nafaka ni kawaida?

Au hicho sio chakula?


Chakula kikiwa ndani ya sahani tayari kwa kuliwa. Hapo kuna pumba au chuwa ambazo zitatupwa au kuwa chakula cha wanyama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…