Masanja: Nimevuna mpunga ekari 15 Mbarali Estate - Mbeya

hongera sana hao wanaoendekeza usharobaro wataishi hivyo hivyo
 
Hivi JOTI dini yake ni ipi maana anakoelekea siko, mimi binafsi sitamani hata kumwangalia kwenye kipindi chao, hasa anapoanza mambo yake ya makavu laivu

Makavu live kimekugusa nini! Mbona unakiogopa?makavu live ni chuo cha mafunzo,mapungufu na vijitabia Vibaya vyote hivyo ukiona mtu anayapinga ya Makavu live ujue Ana walakini !
 
Hongera,karibu na huku alikolima mwarabu wa dubai (malinyi) uwekeze maana ardhi ni tele na yenye rutuba!
 
Nilijaribu kufanya uwekezaji kwenye kilimo cha mahindi. Lakini mwisho wake haujawa mzuri kabisa, nimepoteza pesa nyingi kiasi.
Nililima mahindi, shamba lilikua na ukubwa wa ekari 5 na nilipanda mbegu za kisasa (TMV-1 na Staha).
Bahati mbaya, ekari 2 ziliathiriwa na ukame wa January mpaka March mwaka huu, na ekari 3 zilizobaki sijavuna vizuri pia! Lakini bado nina hamu ya kufanya kilimo, so msimu ujao wa kilimo nitarudi shamba tena.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
congratulation brother, by doing so, its real that "the future belongs to those who prepare for it today". zidi kaza buti uje kuwa mfano mzuri kwa wenzako wanaondekeza starehe zisizokuwa na maana.
 
Hongera kwa kuvuna tugawie na siye kidogo ubweche
 
Anamiliki na kampuni ya ulinzi inaitwa ok security, ameona mbali kwakuwa comedy imeshakuwa zilipendwa
 
We follow the same lead.
Hongera sana
 
anastahili sifa kuna vijana wengi wasanii wanaishiwa kulewa na starehe akili ya kujijenga kimaisha hawana.
 
hata kama angevuna ekari 100, so far kaifanyia nini jamii?

kaifurahisha na kuwatoa stress, kawalisha kwa mchele aliouvuna atakuwa katoa ajira kwa wawili watatu.
we ulitaka aifanyie nini mkuu?
 
big up masanja umetoa somo kwa wachungaji wengine ambao wanategemea sadaka 2! Haitakiwi wanatakiwa wajishughulishe
 
Nampa changamoto tuu JE AMEVUNA GUNIA NGAPI?
Nilipiga eka 20 niko na gunia kama 300 bado wanaendelea kuvuna!
Ila hongera zake pia angalau amekumbuka kilimo ambacho ndo kimewaoa wazazi na ndugu zake pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…